cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Aaaah wee thubutuuuuu.Kawaida hadi niload kwanza ndo niongee... Mie Kiswahili kwenda mbele hapa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah wee thubutuuuuu.Kawaida hadi niload kwanza ndo niongee... Mie Kiswahili kwenda mbele hapa .
Hahaha japo mke wangu huwa ana niamkia.Hupendi eeeh
Ngoja nikusalimie
Shikamooo
Habari za Leo Mkuu
Usikute wewe unakijua balaa
Hujanikuta tu nakitwanga ..
Anha kumbe , pokea na ya kwanguHahaha japo mke wangu huwa ana niamkia.
Za leo poa kabisa!
Sanaaaa ila wengine sauti zetu utadhan tumemeza churaaaa.Usikute wewe unakijua balaa
Huwa nawaza humu kungekuwa na voice note ingekuwa fun .








Wailes au Temeke mwsho.Hujanikuta tu nakitwanga ..
Mtoto Wa uswazi mie
Hahaha usimchambe itakuwa anaongea fluently huyo .ananiudhi mnoo, mda wote yeye ni kuongea kimalkia, kuna siku ntamchokaaa ntamchambaaa mbna.
ada hanilipii yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sauti ni sauti bhana
Hapana Ilala
Brad pitt is waaay out my league,, but thank you for the complimentYou look way hotter than Brad Pitt
Your charm is immeasurable . I have so much respect for you

Mdogo mwenzio Mie!!Anha kumbe , pokea na ya kwangu
Trust me that suit looks great on you ...Brad pitt is waaay out my league,, but thank you for the compliment
How are you doing?
Mdogo mwenzio Mie!!
Mbaya zaidi hata kina mama sikuhizi nimeacha kuwasalimia maana nikiwasalimia na wao wananipotezea juu kwa juu. Unless awe mtu wa makamo Sana ndo ntatoa shikamoo yangu.
Keep it upMmmh udogo huo vipi .. Nahisi utakuwa umenipita tu miaka kadhaa.
Nasalimia almost kila nayemuon mkubwa kwangu .







Hahhaa okay MkuuKeep it up
Nishatikisa kichwa uku.
I am alright, alhamdulillahTrust me that suit looks great on you ...
Brad Pitt ako rich tu nothing else
I'm doing super fine vipi wewe
Missed you ...