Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Mtoto una mapozi kama Kendall Jenner, nani kakufundishaYa wapi?🤣
Mbeya vijijini
Na gauni yangu ya Aftatu
Mtoto una mapozi kama Kendall Jenner, nani kakufundishaYa wapi?🤣
Mbeya vijijini
Na gauni yangu ya Aftatu
Acha kulinganisha mapozi ya dada wa watu na vitu vya ajabuMtoto una mapozi kama Kendall Jenner, nani kakufundisha
Ndio nakuambia, sikujua una mapozi kiasi hiko, kifuani sasaAcha kulinganisha mapozi ya dada wa watu na vitu vya ajabu
Asee unaweza kumtoboa mtu akavuja damu, ukaua kabisaCha mchongo😁
Hatari umependeza mtoto mzuriMama pasta
Kumbe!Asee unaweza kumtoboa mtu akavuja damu, ukaua kabisa
Kabisa
Naomba nikuone Captain wetu🥰Hatari umependeza mtoto mzuri
Ngoja nikajaribu kumtoboa mtoto wa watu.Kabisa
Njoo unitoboe nife tu nimechoka kuishiNgoja nikajaribu kumtoboa mtoto wa watu.
Nisije tu kuozea mahabusu.
Nataka uishiNjoo unitoboe nife tu nimechoka kuishi
Nasubiri kukuona ujueNjoo unitoboe nife tu nimechoka kuishi
Pumzika kwanza usiku huuNasubiri kukuona ujue
Unapenda kuniumiza eeh?🥺Pumzika kwanza usiku huu
Ugomvi ushaanza.Unapenda kuniumiza eeh?🥺
Kosa langu ni kukupenda?🥺Ugomvi ushaanza.
Ujue unachonifanyia sio kabisaKosa langu ni kukupenda?🥺
Nijibu🥺🥺Ujue unachonifanyia sio kabisa
Ujue utani unaofanya kuna watu watahisi kweli ujue?Nijibu🥺🥺
Hebu nijibu kama nimefanya makosa kukupenda 🥺Ujue utani unaofanya kuna watu watahisi kweli ujue?