Hahaha usimchambe itakuwa anaongea fluently huyo .
Mimi nishatoka huko kwenye kuongea sana wakati tupo primary huko .. Hadi nyimbo za kiswahili tunaimba kwa kizungu lol .






hongereni sanaaaa. Nakwambia!! Sikuhizi nararajee mapema!Miss you too
Ndo walala tayari ?
Sweet dreams
Hilo nalijuaaaa mbonaa nilikua nasubiria tyuuuu🤣🤣🤣🤣!!Antonnia
Shougaaaaaa uyogaaaaa nimekumic mnooo.
Japooo nna vidongeee vyakooo na lazimaa ulee,
Sent using Jamii Forums mobile app
Bush party pilipili ya chungu mishkak ya swalaView attachment 2452624
Hatari sana mkuu!!
Nimealikwa kwenye bday ya x wangu anayetaka Kadi mm siwez fanya huo ujinga wa kwenda nisije nikapiga mtu chupa bure![]()
Ya wapi?
Mbeya vijijini
Na gauni yangu ya Aftatu
Nkamu ni gauni langu nilinunua afmbiliNkamu sijaonaaa
Hiyo pilipiliBush party pilipili ya chungu mishkak ya swalaView attachment 2452624

Kumbe hii race nayo ina embe sindano?
HaijaguswaMali Safi kilomita chache Sana![]()
Bush party pilipili ya chungu mishkak ya swalaView attachment 2452624





