Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mapenzi bado yapo aise sema ndio vile mnawindana.

Binafsi nikupenda nakuwa kama phaller na ninakuwa na utulivu wa kamakitoto cha nyau..tatizo sasa unajikuta umezama Kwa docta manyau nyau

Mbwa kala kitoto cha ngedere😂😂😂

This thing called mapenzi ni uto fc
Mbona mie nazama mzima mzima na hamnitaki humu 😅😅😅
 
😅😅😅😅😅 banaa wee Depal mtani wangu.. mtu asichukulie serious kabisa.. mtani wangu toka zamani sana.. hata convo zetu humu ukiangalia ni za utani utani hatujawai kuonana hatujawai ongea hatujawai ji PM 😅😅😅 hanijui simjui ni kama vile dogo langu Lenie navyolitania humu
Umejitetea snaa😂😂😂
Haya basi nimekuelewa…hatukulogi tena
 
sina hela sasa unafikiri angekubali kufa na njaaa..
nimekumbukaaa kituuu.

Kuna jamaa anafanya kazi NSSF, yulee bhanaaa alikua ananifatilia tangu 1St yr mie hata cmtaki, anakuja chuo na ndinga yake anabeba zawadi na pesa, mie hata sina habari nae. Mara anamtumia rafk angu anishawish kunipataaa, rafk angu ananisema etii oooh unakataa penye ulaji unataka nn sasa, nkawa namuambia siwezi kuwa na mtu nisiempenda.

Siku hiyo sasa kaja chuo, km kawaida yake yule jamaa kuna masharti nilimpaaa, ili niwe nae mbna alishindwa, na nilijua lazima ashindwee. Ikaisha hiyooooooo.

Tunaamwaga watu kijanjaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni waya mkuu au gundi kwenye huo mfuniko wa injini?

Niliwahi kupanda Boeing ya ATC zamani kabla Magu hajanunua hizi mpya aisee ile ndege ilikuwa imechoka. Nilikuwa siti ya dirishani na hapo tu ubavuni karibu na mabawa kulikuwa na rundo la waya peupe tu linaning'inia. Nilisali kila aina ya sala yaani lakini hao tukatua Mwanza salama....

Happy holidays
JamiiForums-1420001107.jpg
 
Mapenzi bado yapo aise sema ndio vile mnawindana.

Binafsi nikupenda nakuwa kama phaller na ninakuwa na utulivu wa kamakitoto cha nyau..tatizo sasa unajikuta umezama Kwa docta manyau nyau

Mbwa kala kitoto cha ngedere

This thing called mapenzi ni uto fc
dear nacheka km chiziiiiii. Niliwahi kuzama kwa mtu wakati fulaani, helaa yangu yote ya matumizi nilimpa yeye atatulie tatizo lake ila lilinikutaaa jamboooo, kheeeeeh siwezi rudia ujinga wa kuzama hovyooooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimekumbukaaa kituuu.

Kuna jamaa anafanya kazi NSSF, yulee bhanaaa alikua ananifatilia tangu 1St yr mie hata cmtaki, anakuja chuo na ndinga yake anabeba zawadi na pesa, mie hata sina habari nae. Mara anamtumia rafk angu anishawish kunipataaa, rafk angu ananisema etii oooh unakataa penye ulaji unataka nn sasa, nkawa namuambia siwezi kuwa na mtu nisiempenda.

Siku hiyo sasa kaja chuo, km kawaida yake yule jamaa kuna masharti nilimpaaa, ili niwe nae mbna alishindwa, na nilijua lazima ashindwee. Ikaisha hiyooooooo.

Tunaamwaga watu kijanjaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
ila kumwagwa ni sehemu ya maisha, shida ukikaza fuvu ndio utamia .. 😁😁😁

Ukimwagwa unakaa zako pembeni tu maisha yanaenda 🤣🤣🤣

nimekaa naandika majina ya wote walio nikataa toka chekechea hadi umri huu nianze wafatilia mmoja baada ya mwingine 😅😅😅
 
Ongeza sauti puliiiiiiiizzzzzz hawajasikiaaaaaaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅 hakuna kuaminiana asee.. mapenzi yana uongo uongo mwingi sana hasa kwa mbao damu zao bado za moto.. kidogo ukikuta watu wamekata ringi mnaishi yani unakuta kaisha funga ukurasa ila ukitukuta vijana wa sinza mori lazima tukuwashe 🤣🤣🤣
 
Huu ni waya mkuu au gundi kwenye huo mfuniko wa injini?

Niliwahi kupanda Boeing ya ATC zamani kabla Magu hajanunua hizi mpya aisee ile ndege ilikuwa imechoka. Nilikuwa siti ya dirishani na hapo tu ubavuni karibu na mabawa kulikuwa na rundo la waya peupe tu linaning'inia. Nilisali kila aina ya sala yaani lakini hao tukatua Mwanza salama....

Happy holidays
View attachment 2449570
Kwani hapa ni wapiii???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni waya mkuu au gundi kwenye huo mfuniko wa injini?

Niliwahi kupanda Boeing ya ATC zamani kabla Magu hajanunua hizi mpya aisee ile ndege ilikuwa imechoka. Nilikuwa siti ya dirishani na hapo tu ubavuni karibu na mabawa kulikuwa na rundo la waya peupe tu linaning'inia. Nilisali kila aina ya sala yaani lakini hao tukatua Mwanza salama....

Happy holidays
View attachment 2449570
😅😅😅 kila aina ya sala ili mfike salama au ukirudi nyumbani ufike mikono salama ya Muumba
 
Back
Top Bottom