Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huu ni waya mkuu au gundi kwenye huo mfuniko wa injini?

Niliwahi kupanda Boeing ya ATC zamani kabla Magu hajanunua hizi mpya aisee ile ndege ilikuwa imechoka. Nilikuwa siti ya dirishani na hapo tu ubavuni karibu na mabawa kulikuwa na rundo la waya peupe tu linaning'inia. Nilisali kila aina ya sala yaani lakini hao tukatua Mwanza salama....

Happy holidays
View attachment 2449570

Hiyo ni layer ya rangi ambayo kama imeanza kubanduka kwenye kiungio kutokana na msuguano wa upepo na ndege.

Pole sana, binafsi sijawahi kurelax kwenye huu usafiri. Hivi karibuni sijui walijichanganya wapi, nikapewa sit ya business japo tkt yangu ilikua economy. Nafikiri hata wale wahudumu waligundua kabisa kwamba huyu kenge itakua kapata zali tu!! Ikawa tunapata treat za business😄

Screenshot_2022-12-17-09-18-38-63_99c04817c0de5652397fc8b56c3b3817.jpg
 
Back
Top Bottom