Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,973
- 26,960
Asante sanaHaha!! umependeza
Asante sanaHaha!! umependeza
Haya Sawa ccy ngoja nkutumie
Nambie bossWw binti![]()
Ndio mim huyoUwiiiiiiiiii
Yan unanidanganya hadi Mimi jiran yako?Ndio mim huyo
NakupendaNambie boss
Ooooh sorry na picha enyewee nlifuta, ngoja niende kwa app niliko itoaa, nkatafute tenaa.Nimependa hiyo avatar yako dear naomba unitumie kwajili ya huo mnyoo
Ehhh babyndo utanipa 5k au?
Subiri mkeka utiki basi shemejiTuma kwan baba yolly yolly![]()
💃💃💃💃🤸🤸🤭🤭kwendraaa huko, enda na umri bibi wee.
Hahaha........................lakini Bata la elfu 40 kwenye Kila laki 1 si Iko poa hapo? 🤪Kula bata babu kesho itajisumbukia yenyewe![]()
Nina watoto wengi Mjukuu, hivyo Kila mtoto ana chumba chake humo.Hebu iweke vizuri tuionee, mbna km Mall.
Kheeeeeh
Kwenye kila laki we save buku5 tu zingine zote tumbuaHahaha........................lakini Bata la elfu 40 kwenye Kila laki 1 si Iko poa hapo?
Wazee tumekuwa waoga wa maisha kuliko Vijana![]()

Hongera babuView attachment 2436288
Ukipata shilingi 100,000 kula Bata 40,000 then 60,000 nunua matofali 60 💪
Msisubiri kuja kujenga Uzeeni na hela ya Pension kama Babu yenu hapa 🤪
Hello Monday 🥂
Aunt 😂😂😂Ndyo inavyotakiwa hvyokila mtu apambane na hali yake yani niache kununua Gari nijenge mapema kisa watoto wangu waishi vizur nasema hvi wataisoma namba