cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Namuona siku hizi yuko bright sana, amekua kiakili binti Nyange.
Namuona siku hizi yuko bright sana, amekua kiakili binti Nyange.
😂😂😂😂🤣Eti amekua kiakili kwamba huko nyuma alikua!!🤔Namuona siku hizi yuko bright sana, amekua kiakili binti Nyange.
😅😅 Mnajishitukia tu, comment za humu zisiwachanganye, sie ndio husband material.. wengine fakeTonnia katulia mbona..tatizo nyie mna shida ..maneno mbali vitendo mbali
🤣🤣🤣🤣😅😅 Mnajishitukia tu, comment za humu zisiwachanganye, sie ndio husband material.. wengine fake
Na sie tumewachoka tayari, mna ngonjera nyingi sana 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Basi sawa ngoja nimshawishi kipenzi changu tonnia lifanyike Jambo kubwa kutoka humu kwa mara ya pili😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Na sie tushawakinai embu kwendreeeeni hukoNa sie tumewachoka tayari, mna ngonjera nyingi sana 😅😅😅
Vitaziba hivyo vitundu 😅😅🤣🤣🤣🤣🤣 Na sie tushawakinai embu kwendreeeeni huko
😂😂😂😂Mara 100 vizibe..😏Vitaziba hivyo vitundu 😅😅
Mtawasumbua sasa madokta kuwatibu chekelea na kuvizibua 😒😒😒 haya shauli yenu😂😂😂😂Mara 100 vizibe..😏
😂😂 EmbuuuMtawasumbua sasa madokta kuwatibu chekelea na kuvizibua 😒😒😒 haya shauli yenu
Mic uu dyadyaaa,Eti amekua kiakili kwamba huko nyuma alikua!!
Nakumiss mdogo wangu





alikua km wengine ujinga mwingi, this time naona kashtuka ukubwa upo shingoni.Kiachie, ufaidi upate raha za dunia 😊😊😊 sio kukibana banaaa kama waishi milele😂😂 Embuuu
Embu selfika nione udogo wako
Babu la mchongoView attachment 2436288
Ukipata shilingi 100,000 kula Bata 40,000 then 60,000 nunua matofali 60
Msisubiri kuja kujenga Uzeeni na hela ya Pension kama Babu yenu hapa
Hello Monday![]()

Hiyo ni Mall?View attachment 2436288
Ukipata shilingi 100,000 kula Bata 40,000 then 60,000 nunua matofali 60
Msisubiri kuja kujenga Uzeeni na hela ya Pension kama Babu yenu hapa
Hello Monday![]()
Uwiiiiiiiiii