Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watoto watajenga ya kwao Kwan ww dingi ako alikuachia nyumba siulitafuta mwenyewe boss
Una nikumbusha kuna Prof mmoja Chuo Kikuu alikuwa anatutania darasani kuwa hakuna haja ya kujenga nyumba kubwa kwaajili ya watoto. Anasema wewe Jenga vyumba viwili tu then chumba kimoja Cha Baba na Mama na kingine wajaze watoto wote humo yaani Ke na Me.

Anasema wakifika miaka 18 tu Kila Mmoja atahama nyumbani 😂
 
Una nikumbusha kuna Prof mmoja Chuo Kikuu alikuwa anatutania darasani kuwa hakuna haja ya kujenga nyumba kubwa kwaajili ya watoto. Anasema wewe Jenga vyumba viwili tu then chumba kimoja Cha Baba na Mama na kingine wajaze watoto wote humo yaani Ke na Me.

Anasema wakifika miaka 18 tu Kila Mmoja atahama nyumbani
Ndyo inavyotakiwa hvyo kila mtu apambane na hali yake yani niache kununua Gari nijenge mapema kisa watoto wangu waishi vizur nasema hvi wataisoma namba
 
Kuwa na adabu na Babu yako

Msije sema Wazee ili wakupe ushauri wanataka uwalipe, Mimi wangu nimetoa bure kwa Vijana
Ushauri wa maangamizi

Kujenga ni uoga wa maisha

PM lako litafurika mbona

Hiyo ndoano hawachomoi
 
Back
Top Bottom