Amina kubwa kabisa 😍Amennnn
Wazee wabarikiwe sana 😍😍😍
Toa neno kibungo, achana na hizo kazi ukifa kesho wanatangaza nafasi ya kazi.
Bora uwape sifa zao wazee hawatakuacha bure![]()


huu ushauri nimeupendaSijaenda Likizo ujue? Ndo nalia hivoo wanikompanseti na 💰Achana na kazi kibungo, waambie wewe ni memba muhimu sana hapa selfika so tunakuhitaji kwa sasa🤣🤣🤣
Mnoooooo!! Yani unakuta mtu kajikwatuuuuuuuuuaaaa Kijana jamaniiiii!! Hizo swagger sasa!!
Kwanza Watu wazima Wengi wao wametuliaa akiamua kufocus nanafocus kweli kweliiii hawana shobo na vibintii wala makalio yaoooo!! Akikuchagua amekuchagua na anamaanisha wanashaurii pia !!
Tuvijana sasa full hekahekaaaa![]()






sasa na mie napenda heka hekaaaa.Naenda juu.. after 5minutes piga
Heka heka haziwaishi sababu bado wapo kwenye balehe so ni kama kuna tuvitu tunawawasha washa huko kunako tunasababisha wasiweze kutulia.








usiwaze kabisa kipenzi umepataaaa mbonaaa hapaa teinaaaahhh😘😘!!!Ukimuona mmoja niletee na mie 😂
wazee ni 🔥🔥
Mama mchungaji Heaven Sent njoo uoneeeee, kumbe hili ndo lile pembe la ngombe...!🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Nawee mkubwaaa weeeehhh🤣🤣🤣🤣!!Mama mchungaji Heaven Sent njoo uoneeeee, kumbe hili ndo lile pembe la ngombe...!🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Wakubwa wanafaidi😍
Hamna watu romantic kama wazee, wanajua kubembeleza hatari.aseeeeeh nyie wazee hata feelings ya denda inakuja kweliiiii?
Niliwahi taka kujaribu date na mtu wa 42yrs, wakat huo niko advance, yule alikua n Dr (Dentist), na alikua ananifatilia mda mrefu, nkaona hebu nimkubali kwan, tukawaa tuna slay tyuuh plus kunipa mahitaji, pesa, siku sasa ya mzagamuo uwiiii.
kufika hotelin akili yangu inagoma, mwili ndo hauna hata msisimko, nkaona siwezi kukubali kufanÿa kitu ambacho sijisikii, sawa na kubakwaa huku, nkaamua kumuambia ukweli kwa leo sipo sawa.
Sema alikua muelewaa tukatoka, tangu paleee nkaamua kuwa mbali name had leo,
Nikimuonaga nacheka mnooo,. Afu yuko vizuriii tyuuh. Sijui ni mind-set angu, nikiona mtu ana date na over 45 cjui namuonaje yaan.![]()
Mind set yako tu hiyoaseeeeeh nyie wazee hata feelings ya denda inakuja kweliiiii?
Niliwahi taka kujaribu date na mtu wa 42yrs, wakat huo niko advance, yule alikua n Dr (Dentist), na alikua ananifatilia mda mrefu, nkaona hebu nimkubali kwan, tukawaa tuna slay tyuuh plus kunipa mahitaji, pesa, siku sasa ya mzagamuo uwiiii.
kufika hotelin akili yangu inagoma, mwili ndo hauna hata msisimko, nkaona siwezi kukubali kufanÿa kitu ambacho sijisikii, sawa na kubakwaa huku, nkaamua kumuambia ukweli kwa leo sipo sawa.
Sema alikua muelewaa tukatoka, tangu paleee nkaamua kuwa mbali name had leo,
Nikimuonaga nacheka mnooo,. Afu yuko vizuriii tyuuh. Sijui ni mind-set angu, nikiona mtu ana date na over 45 cjui namuonaje yaan.![]()

Dada una mtaaaako
Ila unajua kutafuta hela wewe dada, kama mchagaSijaenda Likizo ujue? Ndo nalia hivoo wanikompanseti na 💰
Angekuwa kijana hapo 😂😂Hamna watu romantic kama wazee, wanajua kubembeleza hatari.
Wewe ulikua ni muoga ndio maana feelings zikapotea.
Af si unaona alikuelewa, imagine wangekua ni hutu tuvijana tusharobaro mshaingia eneo la tukio unamwambia hauko sawa unafikiri angekuelewa?
Kwanza hapo hela yenyewe ya hoteli kakopa kwa washkaji zake af umwambie hali mzigo weee ungeelewa mziki mbona.
Wazee oyeeeeee🥰🥰
Siyo kwa hizi sifa ulizo mwaga hapa
Leo umekunywa nini??
Si uende darasani huko..!
Vocha nimeshakuwekea kule ebu screenshot uwawekee hapa wathibitishe![]()







niacheee kumpa sifa mahabhuba, laazizi, nyonga mkalia ini, tamuuuu akeee? 










Inabidi nawe ufaidi. Hakuna namna