Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wazee ndio mpango mzima
Kwanza hawana mambo mengi maana wako busy kutafuta hela af sio washamba na pisi maana washazipitia sana so saivi wametulia wanataka uwape utulivu tu.

Cc: Depal
aseeeeeh nyie wazee hata feelings ya denda inakuja kweliiiii?

Niliwahi taka kujaribu date na mtu wa 42yrs, wakat huo niko advance, yule alikua n Dr (Dentist), na alikua ananifatilia mda mrefu, nkaona hebu nimkubali kwan, tukawaa tuna slay tyuuh plus kunipa mahitaji, pesa, siku sasa ya mzagamuo uwiiii.

kufika hotelin akili yangu inagoma, mwili ndo hauna hata msisimko, nkaona siwezi kukubali kufanÿa kitu ambacho sijisikii, sawa na kubakwaa huku, nkaamua kumuambia ukweli kwa leo sipo sawa.

Sema alikua muelewaa tukatoka, tangu paleee nkaamua kuwa mbali name had leo,

Nikimuonaga nacheka mnooo,. Afu yuko vizuriii tyuuh. Sijui ni mind-set angu, nikiona mtu ana date na over 45 cjui namuonaje yaan.
 
Back
Top Bottom