Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hamna watu romantic kama wazee, wanajua kubembeleza hatari.
Wewe ulikua ni muoga ndio maana feelings zikapotea.

Af si unaona alikuelewa, imagine wangekua ni hutu tuvijana tusharobaro mshaingia eneo la tukio unamwambia hauko sawa unafikiri angekuelewa?
Kwanza hapo hela yenyewe ya hoteli kakopa kwa washkaji zake af umwambie hali mzigo weee ungeelewa mziki mbona.

Wazee oyeeeeee[emoji3059][emoji3059]
Ngoja nichange mind-set anguuu.

Mjep ukifika 45 tuna achanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee hio ya Mwezi mei dear!!
ya leo hii hapa na vitenge vyangu ka mpishi sitaki shari na watotooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] cocastic njoo ona mpishi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] headmaster wako hajawahi kukuita ofisini? Au kukupandisha cheo uwe second mistress?

Tishaaaa sanaaaaa shougaaaaa. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom