cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,287
Vitotoooo?Hayana formula ndio lkn sio kujihusisha kweny mahusiano na vitoto







Vitotoooo?Hayana formula ndio lkn sio kujihusisha kweny mahusiano na vitoto







Namsaidia mdogo wangu hapo Coca, asije kupotezewa muda na kuchakazwa na vibishoo kisa vinavaa moka.
Akawaona vijana wenye maana wazee kisa hawanyoi kiduku






nyieee.Angeisoma namba mbona🤣🤣🤣Angekuwa kijana hapo 😂😂
ndo maana tunawasifia wanajua kulea na kusikiliza .
Wanaenda tu kwa ajili ya location baby, wakitoka hapo full kupiga miayo wanajongea uswazi kwao kwenye wali wa buku jero





hatareee tupu.Leo selfika inatikisika siyo kwa hizi selfieWee hio ya Mwezi mei dear!!
ya leo hii hapa na vitenge vyangu ka mpishi sitaki shari na watotooo🤣🤣🤣🤣🤣 cocastic njoo ona mpishi 😂😂😂
Hizi ndo nguo sasaWee hio ya Mwezi mei dear!!
ya leo hii hapa na vitenge vyangu ka mpishi sitaki shari na watotooococastic njoo ona mpishi
![]()




Ndio mnakutana two hekahekas weeee!! Hapanaaaa!! Kwanza hata ile heshima inapotea kabisa!!!sasa na mie napenda heka hekaaaa.
Sasa je nani mwingine kwani !!! Hakunaaaaa .. tutabanana hapohapoooo acha turoganeeeee wasintanieeee kabesaaain coca's voice
![]()







Jinga sanaKaka yake na chuchunge
Timu vya usiku
Musukuma handsome anayezurula kama amekula miguu ya kuku ..
Hapa kidogo CV imekamilika.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Oyeeereeeee🏃🏃🏃🏃Hamna watu romantic kama wazee, wanajua kubembeleza hatari.
Wewe ulikua ni muoga ndio maana feelings zikapotea.
Af si unaona alikuelewa, imagine wangekua ni hutu tuvijana tusharobaro mshaingia eneo la tukio unamwambia hauko sawa unafikiri angekuelewa?
Kwanza hapo hela yenyewe ya hoteli kakopa kwa washkaji zake af umwambie hali mzigo weee ungeelewa mziki mbona.
Wazee oyeeeeee🥰🥰
Kunywaaa biaaa kwa mangi hapooo bili kwanguuuuHebu Nipe tano kwanzaaaa
![]()

Nijazeee nijazeee mr vocha weee nijazeee tyuuuu !!!😘😘😘😘😘Leo selfika inatikisika siyo kwa hizi selfie
Boss lady umependeza hadi ukapendezaaa😍
Wigelekelo njoo umchukue mtu wako hapa anataka kuharibia uzii🤣🤣🤣🤣🤣