Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Chuchunge wahedMimi kiroho safi nitawashonea mashati ya Vitenge na koshibo
Sina baya.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Chuchunge wahedMimi kiroho safi nitawashonea mashati ya Vitenge na koshibo
Sina baya.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ila huyo usimloge plsss, ni kijana mwema
Hawezi kukuacha








nikimrogaaa hapo sasa c atakua zezetaaa, uwiiiiiih. Hivyo visharobaro vinavyojua kulamba lips na kupiga picha za kupost sio kabisa.Baelezeeee baelezeeee baeleweeee dearrr....hao wanataka tuvijana sharobaroooo hata hatujui maishaaa full ubishoo!! Hapana kubwa kwakweli
Kazi ipoo
Na ipo kweli kweli kumbe mambo ni makubwa kiasi hiki?![]()







utavavaaaaaaaaa!!!!!Bado hapo
Kiufupi huyo hanaga mbambamba, labda uzingue wewe tu.nikimrogaaa hapo sasa c atakua zezetaaa, uwiiiiiih.
Mwanaume mpoleee na amepoaaa mnooo, yaan hana amsha amsha. Nachopendaaa sio mchoyooooooo.
Mjep naomba vocha ya 30k, ili niamini unanipenda kweli, c nimeambiwa mie wa kupewa buku buku.
Hebu waonesheeee venyeee unanijaliiiii, huhuhuh
Amenyoooka km rulaaaaaaaaa,








NdiwooooooAmenyoooka km rulaaaaaaaaa,![]()
Ahsanteeeeee!!!!Ndiwoooooo
Hujambo jirani, unaendeleajeEmu sugua gaga kwanza, sio kirahisi rahisi hivi.
Ukiqualify utakua next....😛😛
Kabisaaaa hutu tuvijana tulamba lipss ni stress tu! Ukute tayari una stress zako plus hio uwiiiiii!!! Hapanaaaa!!Hivyo visharobaro vinavyojua kulamba lips na kupiga picha za kupost sio kabisa.
Mwanaume anasifiwa kufanya kazi, na awe na allergy na camera hasa selfie 😂
Umesikia didi ake cocastic
Hahahaa mbona inawezekana kakakeMdo mdo dadake
Najifunza ku approach
Ila nimeahidi vikubwa
Ndoa bila kupewa mzigo kweli![]()
Af vinakuaga havina hata mia, ila picha sasa kutwa kupigia mahotelini.Kabisaaaa hutu tuvijana tulamba tutakuongezea lipss stress tu!
Niko poa jirani, za wewe?Hujambo jirani, unaendeleaje
Nipo jirani, nilikuwa nasubiri mvua kijijini nipande...Niko poa jirani, za wewe?
Ulimisika jirani yangu kipenzi, kwani nani alikuficha.
Mambo vipi cha usiku mwenzanguChausiku
Kwa Kwa utulivu bhas
Vyenyewe tu shida tupuu😁😁😁😂😂😂 !!🙌🙌🙌🙌!! !!Af vinakuaga havina hata mia, ila picha sasa kutwa kupigia mahotelini.