CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,065
- 7,651
Kama his game is low,, hapo ndo utamjuaKwanza atakayekuwa na mume wangu ajipange sana nisimjue aloooo
Yaani nisimjue.
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Kama his game is low,, hapo ndo utamjuaKwanza atakayekuwa na mume wangu ajipange sana nisimjue aloooo
Yaani nisimjue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naogopaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uko sahihi kabisaaa,Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusu…
Kwa hapo sielewi maumivu yake yakoje…
Nasemea zile case za gf na bf, mwagane kwa kushindwana wao kitabia then victim aonekane gf
Ntamuuliza baadae.Just do it
ujue mapema mbivu na mbichi
😂😂 hatuelewi somoKuachana na mtu sio uadui, maisha yana mengi
Kukosa ukomavu, mbona mie na weww tunagombana na kuchuniana sanaaa 🤣🤣🤣 ila sio maadui ndege warukao pamona wanafanana😂😂 hatuelewi somo
😂😂😂 nilimuelewaga mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataman kumuuliza kabila lake naogopaaa, lisipokua pendwa kwangu hata mawasiliano ntakata nae.
mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusu…
Kwa hapo sielewi maumivu yake yakoje…
Nasemea zile case za gf na bf, mwagane kwa kushindwana wao kitabia then victim aonekane gf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mie huyu mtu yuko vizuri na namkubali haswaaaa,. Tatizo linakuja tunasoma class 1 isije ikafka yale yale ya mtu wa hovyo.[emoji23][emoji23][emoji23] nilimuelewaga mtu
Nikamweka kwenye target, akajaaa
Lol kuwa karibu nae vile ndio nikajua hana akili nzuri
Nilikimbiaaa
Wakuache kabisa mchumba, wasubiri harusi tutawapa kadi😊Ni kapepo Fulani kanakotaka kunivunjia mikeka yangu😂😂😂
Na mchumba wangu Jack Palladino
Kwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.
kwa case hizo gf ndo anaumia sana aisee maana anaweka matarajio makubwa kuliko Me
mostly me wana hit and run tu na wao hawapo na feelings Kama ke
😂😂😂 heri hata mwaka jana you were so friendly and sweet.Kukosa ukomavu, mbona mie na weww tunagombana na kuchuniana sanaaa 🤣🤣🤣 ila sio maadui ndege warukao pamona wanafanana
😂😂😂😂Kwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?
Na wewe kuwa kama wao…mie hata miezi 6 sijawahi kufika , umbeya tu unaniwasha hapa.
kwa case hizo gf ndo anaumia sana aisee maana anaweka matarajio makubwa kuliko Me
mostly me wana hit and run tu na wao hawapo na feelings Kama ke
Makubaliano yepi 🤣🤣Kwan wakati wa kutongozana inakuaje? Si kunakua na makubaliano au?
🙂🙂 ndege wafanano huruka pamoja hata kama wata donoana baada ya mda utawakuta tena wanacheza na kurishana na kufurahi...😂😂😂 heri hata mwaka jana you were so friendly and sweet.
Hii 2022 umekuwa kinara wa ugomvi
Sijui kwann hatuchuniani pamoja na kutukanana kote kule 😂😂😂🙌
Sitaki kuchovywa na kila mtu 🤣Na wewe kuwa kama wao…
Akihit wewe una run 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo hapo sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Do you see me in ur future? Au tunapeana tu kampani… life is so easy
Sasa hilo tatizo la wahusika wote wawili, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makubaliano yepi [emoji1787][emoji1787]
siku hizi hata kutongozana hakupo
Kuuliza tu mna malengo gani as a couple . ukiona hakujibu ujue hapo chenga.
Mweke kwenye friend zone umsome ,, kama ni wa hovyo sana utanusa harufu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mie huyu mtu yuko vizuri na namkubali haswaaaa,. Tatizo linakuja tunasoma class 1 isije ikafka yale yale ya mtu wa hovyo.
Binadamu hachelew kubadilka.