Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Mijamas haifai aiseeHilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.
![]()
wanakutumia then dump you
Mijamas haifai aiseeHilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.
![]()
😂😂😂😂😂 ndio maana wanasemaga block X once you breakupafu linategemea linakuumiza, huwa nali suprise.
"Yes ulinikazaaa, na nlikua happy haswaaa, na hata sahiv yupo mwingine ananikazaa, vipi hujapata bado wa kumkaza?
akanambia "aliye kuroga amekufa.
labda nyie aisee
wewe na genius wako.





genius hatakuwa romantic huyu, anawaza masomo tyuuh, sasa drama zang ataweza?😂😂😂😂 sasa unafanyaje ndo kamekuja? Kametoka Mwanza mpaka SingidaTwin kama kawa, 😀😀😀😀 maandalizi yooote alafu kaje kamoja isingekubarika 🤣🤣
😂😂😂😂 sasa unafanyaje ndo kamekuja? Kametoka Mwanza mpaka Singida
Chuo mnamaliza soongenius hatakuwa romantic huyu, anawaza masomo tyuuh, sasa drama zang ataweza?
Najuta kudate na mtu yuleee, sirudii tena kudate na li mtu la hovyo hovyo, sijui nilikwamaa wapiii hata.ndio maana wanasemaga block X once you breakup
Sema me siwezagi yan kuanzisha uadui









Wanakutumiaje Tin na ww ulikuwepo wakti wa matumizi 😂😂 mlitumianaMijamas haifai aisee
wanakutumia then dump you
Chuo mnamaliza soon
Mambo ya masomo yataisha
atakuspoil hadi uombe poo








nataman kumuuliza kabila lake naogopaaa, lisipokua pendwa kwangu hata mawasiliano ntakata nae.Kuachana na mtu sio uadui, maisha yana mengi😂😂😂😂😂 ndio maana wanasemaga block X once you breakup
Sema me siwezagi yan kuanzisha uadui
Wanakutumiaje Tin na ww ulikuwepo wakti wa matumizimlitumiana
Sema binafsi sijawahi kuelewa concept ya jamii kumuona KE as victim kwenye suala la mikazo na dump's![]()









upo km mie wallah. Nashindwa kuelewaaaa.Ma mtu ya hovyo at first ni ngumu kunotice 😂 unajikuta tu ndio ushatumbukia pasipoNajuta kudate na mtu yuleee, sirudii tena kudate na li mtu la hovyo hovyo, sijui nilikwamaa wapiii hata.
Yaan halijui kuachika,
Ndio mnaenjoy wote jamani lakini sio fair unaachwaje wakati umenogewa .Wanakutumiaje Tin na ww ulikuwepo wakti wa matumizi 😂😂 mlitumiana
Sema binafsi sijawahi kuelewa concept ya jamii kumuona KE as victim kwenye suala la mikazo na dump's😂😂😂
Dunia ngumu sanaupo km mie wallah. Nashindwa kuelewaaaa.
Hahah muulizenataman kumuuliza kabila lake naogopaaa, lisipokua pendwa kwangu hata mawasiliano ntakata nae.
Ma mtu ya hovyo at first ni ngumu kunoticeunajikuta tu ndio ushatumbukia pasipo
Hujawahi kuachika?huyo alikuwa anapata ugumu kuachilia






yaan kwa yule mtu had huwa najiuliza mie kwa yule nlifuata nn? Nilikosea wapi. 





, baada ya kuachana ndo nkajua n mtu wa hovyo. 






Kwan lazima kila unaye date nae muoane?Ndio mnaenjoy wote jamani lakini sio fair unaachwaje wakati umenogewa .
Imagine dating na mtu for three years akuache aoe mwingine .. haijanitokea but that shit hurts jamani .
Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusu…Ndio mnaenjoy wote jamani lakini sio fair unaachwaje wakati umenogewa .
Imagine dating na mtu for three years akuache aoe mwingine .. haijanitokea but that shit hurts jamani .