Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanakutumiaje Tin na ww ulikuwepo wakti wa matumizi 😂😂 mlitumiana

Sema binafsi sijawahi kuelewa concept ya jamii kumuona KE as victim kwenye suala la mikazo na dump's😂😂😂
Ndio mnaenjoy wote jamani lakini sio fair unaachwaje wakati umenogewa .

Imagine dating na mtu for three years akuache aoe mwingine .. haijanitokea but that shit hurts jamani .
 
Ma mtu ya hovyo at first ni ngumu kunotice unajikuta tu ndio ushatumbukia pasipo


Hujawahi kuachika? huyo alikuwa anapata ugumu kuachilia
yaan kwa yule mtu had huwa najiuliza mie kwa yule nlifuata nn? Nilikosea wapi.

Nli fail kwake vibayaaaa, , baada ya kuachana ndo nkajua n mtu wa hovyo.

Aaaaah wee ilibidi tuachane tyuuh, hakukuwa na namna.

 
Ndio mnaenjoy wote jamani lakini sio fair unaachwaje wakati umenogewa .

Imagine dating na mtu for three years akuache aoe mwingine .. haijanitokea but that shit hurts jamani .
Sijawahi experience hizo mambo za kuzidi mwaka na nusu…
Kwa hapo sielewi maumivu yake yakoje…


Nasemea zile case za gf na bf, mwagane kwa kushindwana wao kitabia then victim aonekane gf
 
Back
Top Bottom