Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli Kabisa diaa!! Unauvua utu wako kijinga tu!!
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .

Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sijawahi kupoa, nliwahi mchamba mtu had akawa anasema, ndo wee yule huwa huongei? Nkamuambia hujanijua bado, hii trela mbna.
hahaha alikoma huyo mtu aisee
ulimchana live kweupe ..
 
Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
Chepuko la hivyo mbona linatabiaa mbaya 🤣
 
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .

Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
Hilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.

 
Back
Top Bottom