Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli Kabisa diaa!! Unauvua utu wako kijinga tu!!
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .

Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
 
Yako kama umeme wa Tz.. kukatika na kurudi shwaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nachekaga sanaaa.

Ktk mapenzi kinachouma, umeachana na mtu, utakuta likijiskia linatuma text "hata ujione classic au wee special sana usisahau mie nlisha kukaza" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan nachokaga,
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sijawahi kupoa, nliwahi mchamba mtu had akawa anasema, ndo wee yule huwa huongei? Nkamuambia hujanijua bado, hii trela mbna.
hahaha alikoma huyo mtu aisee
ulimchana live kweupe ..
 
Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
Chepuko la hivyo mbona linatabiaa mbaya 🤣
 
hahaha alikoma huyo mtu aisee
ulimchana live kweupe ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nikiwa mood off, unaweza sema siongei.

Ndo maan mie watu wengi hawajui ni mpoleee au mcharuko. Sieleweki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nachekaga sanaaa.

Ktk mapenzi kinachouma, umeachana na mtu, utakuta likijiskia linatuma text "hata ujione classic au wee special sana usisahau mie nlisha kukaza" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yaan nachokaga,
Ma men wa hivyo washamba tu 😂😂

Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?
 
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .

Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
Hilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ma men wa hivyo washamba tu [emoji23][emoji23]

Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu linategemea linakuumiza, huwa nali suprise.
"Yes ulinikazaaa, na nlikua happy haswaaa, na hata sahiv yupo mwingine ananikazaa, vipi hujapata bado wa kumkaza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akanambia "aliye kuroga amekufa.
 
Back
Top Bottom