cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Si umbea unakusumbua 😂najikuta nachekaaaa sijui kwann afu.
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .Kweli Kabisa diaa!! Unauvua utu wako kijinga tu!!
Yako kama umeme wa Tz.. kukatika na kurudi shwaaHivi mapenzi yana nn?![]()
🙂🙂 yani mala moja tuu kitu 🤰🤰🤰🤰😂😂😂😂💔
Single 4rever.hatari aisee
uwe single tu kama mie






😂😂😂 kingekuwa kimelamba ardhi y Singida kama sio Manyara🙂🙂 yani mala moja tuu kitu 🤰🤰🤰🤰
Yako kama umeme wa Tz.. kukatika na kurudi shwaa






unajua nachekaga sanaaa. 





hahaha alikoma huyo mtu aisee![]()
![]()
![]()
![]()
sijawahi kupoa, nliwahi mchamba mtu had akawa anasema, ndo wee yule huwa huongei? Nkamuambia hujanijua bado, hii trela mbna.![]()
Chepuko la hivyo mbona linatabiaa mbaya 🤣Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
hahaha alikoma huyo mtu aisee
ulimchana live kweupe ..





mie nikiwa mood off, unaweza sema siongei. 🥲🥲 Singida kati kati , ingependeza twin asahivi wangekuwa wanalia tuu ng'aaa😂😂😂 kingekuwa kimelamba ardhi y Singida kama sio Manyara
Ma men wa hivyo washamba tu 😂😂unajua nachekaga sanaaa.
Ktk mapenzi kinachouma, umeachana na mtu, utakuta likijiskia linatuma text "hata ujione classic au wee special sana usisahau mie nlisha kukaza"
Yaan nachokaga,
Hilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .
Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .





I didn't know 💔😂😂😂🥲🥲 Singida kati kati , ingependeza twin asahivi wangekuwa wanalia tuu ng'aaa
Shida ya kuwapea watoto wasio na adabu 🤣🤣Ma men wa hivyo washamba tu 😂😂
Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?
Ma men wa hivyo washamba tu![]()
Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?





afu linategemea linakuumiza, huwa nali suprise. 



akanambia "aliye kuroga amekufa.Kweliii na wapenda show off za kiswaz 😂😂Shida ya kuwapea watoto wasio na adabu 🤣🤣
Twin kama kawa, 😀😀😀😀 maandalizi yooote alafu kaje kamoja isingekubarika 🤣🤣I didn't know 💔😂😂😂
labda nyie aisee 😂Single 4rever.
Tatizo usumbufu unajikuta uko double