Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweke kwenye friend zone umsome ,, kama ni wa hovyo sana utanusa harufu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tupo friend zone, ila naona ana over take kabisaaaa, uwiiiiiiih.

Na mie mwenyewe jasusi namchora kwan nimuone anaishia wapi, anadhan mie ni mjinga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo tupo friend zone, ila naona ana over take kabisaaaa, uwiiiiiiih.

Na mie mwenyewe jasusi namchora kwan nimuone anaishia wapi, anadhan mie ni mjinga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Story of our sweet friend Lenie 😂😂


Anaona ushaelekea kibraa, anaandaa kisu 😂😂😂
 
Story of our sweet friend Lenie [emoji23][emoji23]


Anaona ushaelekea kibraa, anaandaa kisu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan sometimes huwa nachekaaaa, nataman kumuuliza hili swali "unanichukuliaje? "

Ananiona km mgeni na mapenzi, angejua sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cm enyewe inazima chaji, afu stakua online usiku mzima, na kesho siend chuo.

Guess what?? Leo coca anapatwaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu weeeuweeeeeh 💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸 Enjoy shosssss maisha ndio hayahayaaaaaa 😘😘😘😘
 
Ukipendwa kila siku unaona ni mwisho wa mwezi yolly yolly [emoji7][emoji7]
Haya maombi yenu x wangu anafanya mtihani wa Form four kesho
20221113_201058.jpg
 
Back
Top Bottom