Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
😂😂😂 ukiwa na mtu ni lazima mdo? Hujui kumlambisha maneno?Sitaki kuchovywa na kila mtu 🤣
yaani naona kero
😂😂😂 ukiwa na mtu ni lazima mdo? Hujui kumlambisha maneno?Sitaki kuchovywa na kila mtu 🤣
yaani naona kero
Utakuwa umemkosa mkaka wa masters 😂hunikutiiii, ntakua nshasepaaaa kitambooo.
Kwendraaaa 🤣🤣🤣 muone🙂🙂 ndege wafanano huruka pamoja hata kama wata donoana baada ya mda utawakuta tena wanacheza na kurishana na kufurahi...
2022 umekuwa mwaka dume kweli kweli ndio maana nahisi 😅😅
Mweke kwenye friend zone umsome ,, kama ni wa hovyo sana utanusa harufu






ndo tupo friend zone, ila naona ana over take kabisaaaa, uwiiiiiiih. 




Utakuwa umemkosa mkaka wa masters![]()





aaaah hadi PhD nshawahi kumpataa, hakuna cha ajabu mbna eti mchumbaa.





yaaan sometimes huwa nachekaaaa, nataman kumuuliza hili swali "unanichukuliaje? "






Wa PhD hawana kitu mchumba,, huwa wanawaza paper zao zilizokuwa rejected tu,, hakuna kipyaaaaah hadi PhD nshawahi kumpataa, hakuna cha ajabu mbna eti mchumbaa.



Sio lazima aisee😂😂😂 ukiwa na mtu ni lazima mdo? Hujui kumlambisha maneno?
Siku hizi hayo mambo yamekuwa magumu.Sasa hilo tatizo la wahusika wote wawili,![]()
Twendreee wotee 😋😋Kwendraaaa 🤣🤣🤣 muone
Ningekutia kelbu la shingosijawahi kupoa, nliwahi mchamba mtu had akawa anasema, ndo wee yule huwa huongei? Nkamuambia hujanijua bado, hii trela mbna.
Watu weeeuweeeeeh 💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸 Enjoy shosssss maisha ndio hayahayaaaaaa 😘😘😘😘cm enyewe inazima chaji, afu stakua online usiku mzima, na kesho siend chuo.
Guess what?? Leo coca anapatwaaaaa
![]()
Watuache kabisaWakuache kabisa mchumba, wasubiri harusi tutawapa kadi😊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Ndiomana wanakwambia ishi/ kaa na mtu umjue!! Khakhakhaaaa....😂😂😂 nilimuelewaga mtu
Nikamweka kwenye target, akajaaa
Lol kuwa karibu nae vile ndio nikajua hana akili nzuri
Nilikimbiaaa


Kwaiyo ndio umeamua nisema live 🥲🥲🥲😂😂😂 nilimuelewaga mtu
Nikamweka kwenye target, akajaaa
Lol kuwa karibu nae vile ndio nikajua hana akili nzuri
Nilikimbiaaa
Khakhakhaaaa!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mnaniua Mbavu selfika Hebu chatini napicha kwanzaaa😁Kwaiyo ndio umeamua nisema live 🥲🥲🥲
Eneseketesha sanaaa 🤣🤣🤣 kwamba akaona sina akili lolKhakhakhaaaa!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣