Duuuh kweli kwenye miti hapana wajenziDear hata usitamani kunenepa.
Mie mwili wangu unasonganga mbele tu kama injili, yaani unanikeraaaa.





Duuuh kweli kwenye miti hapana wajenziDear hata usitamani kunenepa.
Mie mwili wangu unasonganga mbele tu kama injili, yaani unanikeraaaa.





Na unajua mimi ndio daktari wako, sasa taabu ya nini?


stop it! Uache kunipaka mafuta hapa!Hujambo lakiniii wewee
Nishangae tuu, Watu8 ameniambia niendelee kufyetua watoto nitanenepa.
Ndio nashangaa yaani unajuaje kuwa umekonda![]()
















Hahah...aiseee!!!
@cute b uniletee viatu vyangu tafadhali.Mwambie mdogo wako b.... akuleteee
Sasa kama hiyo ya monchwari inatisha hivo na bado sijakukataa, ni ipi inatisha zaidi itakayofanya nikukatae?nikisema ukweli utanikataa




Wale mie hata hawanistui... mimi chura hata siziangaliii. Si ulisha kataza? Au umesahauNimeshaanza kukipenda kitambi kiache.
Halafu shida sio kutoa kitambi shida ni pale uwanjani, wadada wana machuuuuuraaa makubwa, na wakija mazoezi wanakuwa wamevaa vi tight vimewachora sana wakati mimi huku hamna chura.
Sasa wewe kama unataka kitambi kiishe, nitakupa stress wiki tuu kitambi na hiyo miguu imeisha.![]()








Ndio hivyo.
Haki umenichokaa sasa
Hahahahaahah
Niko Muheza![]()
Ha ha ha ha haNgoja kaka ako lizaraz... aje teh




na yule mwenye jina la baba wa taifa.Uliondoka nao wewe, au umesahau jamaniWatoto hawajambo kabisa
Mara nyingi tunatamani vile tusivyokuwa navyo.Duuuh kweli kwenye miti hapana wajenzi![]()
Sitakiiii
Whats wrong honey?stop it! Uache kunipaka mafuta hapa!