Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muda utatoka wapi kama wote ni ma breadwinner HS? Ili niweze kuwa na muda nae inabidi nikae nyumbani aniletee chakula, sasa saa 12 tunatoka nyumbani wote, nikitoka kazini hadi nifike nyumbani ni saa mbili kasoro. Tukifika yeye ananyooka kulala mimi naingia jikoni kupika.
Anakula, anarudi kulala.
Hapo naanza kuanza kumnyooshea nguo za kesho na za mtoto za shule ndio na mimi nikalale.
Naanza kushika namba saa ngapi
Ngoja kaka ako lizaraz... aje teh
 
Dah!!!

We jamaa unaweka picha za maeneo wengine ndio ugonjwa wetu

IMG_20191108_164026_9.jpg


IMG_20191108_163850_3.jpg


Hizi ni mubashara za muda huu huu
 
Back
Top Bottom