Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Coca nitajie bwanaatajisoma mwenyeweeee hapa.
Coca nitajie bwanaatajisoma mwenyeweeee hapa.
We Coca hebu nitajie hao maharamianimecheka mnooooo. Huyu ni mwinginee,
Yuleee huwa tunacharuaaaanaaaaaa PM, afu sasaa kumbeee mwanzoni had no angu alikua nayo ya zaman kabla ya hii ya sasa, nakumbuka alitakaa sana tukutaneee, nkamtoleaaa nje. Na huyu nae ana ID 2. JF lol.
Eti kasemaga ningejichanganya kukutana nae, angenionesha upande wa pili wa Dunia.
Nacheeeeekaaa lol.
😕😕 Hana time na mie, angekuwa hata anapokea salamu au kujipendekeza kwangu, ningeenda kupiga magoti PM ila sasa waaaapi 🤔🤔Pm yake ulienda lknau unaogopa
Mwingine tena![]()
Sasa wanakutafutia nini kila uchwao?
Upande mwingine wa dunia ukoje![]()







nachekaaaaaaaa, 😂😂😂😂🤸♂️🏃♀️🏃Hii comment nitaijibu vizuri private 😂
haya wewe jiandae kunipeleka Lunch pale Epi d'or .Utanitolea sadaka tukasali huko
Mjep tu ndiye Mzee anayetujali humu.Ww mzee wetu Grahams embu tutumie vocha basi wazee wa siku hizi mmeakuaje mnashindwa kutubariki vijana wenu
Ubarikiwe sana Tajiri mzeeNimesikia Mhe. Rais ameshusha Bei ya Mbolea huku Kijijini, nikikuta punguzo hata la 5,000 nitakutumia Kijana wangu![]()





Hawakujuiiiii wanakusikiaa tyu shoste akee!!! Waingie kizembe uwanyooshe akili iwakae sawa kwanza hahaha!!
This is jf banaaa!!








JF ya motooooooo shougaaaaaah.Nasubiri uselfikeIGP amenihakikishia Ulinzi mkali kuliko ule wa kuwadhibiti Panya wa Barabarani (Panya Road)![]()

Embu jaribu kumtumia vocha tuoneHana time na mie, angekuwa hata anapokea salamu au kujipendekeza kwangu, ningeenda kupiga magoti PM ila sasa waaaapi
![]()
NdiyoJana umekimbiamwamba alikuja nini
mie mzima.hebu selfika kdg rafikiusingizi mtamu rafiki
vipi mzima wewe ?
Nimecheka![]()
sa umecheka nini😕😕 Vocha nimtumie wapi sasa.. salam hataki, najikombaa weee kagoma, kweli watu na nyota zetu za maviEmbu jaribu kumtumia vocha tuone
Mjep tu ndiye Mzee anayetujali humu.
Wengine wote wanajaza hela zote tumboni hadi wanapata vitambi![]()








ww binti jaman wazee njooni muone ujumbe wenu 










pole sanaa😕😕 Hana time na mie, angekuwa hata anapokea salamu au kujipendekeza kwangu, ningeenda kupiga magoti PM ila sasa waaaapi