Selfika na JF: Snap it. Show it

Yule naye 🤣usasa mwingi.

Watu wanajua nina hela...Halafu Samsung nzuri nilibadilishana na Tecno ya mtu.
Nimebaki na kisamsung Cha kuungaunga ila watu bado wanahisi nina Hela😂💔
Unalizungumziaje suala la kutumia simu ambayo haina utambulisho mbele? 🤣🤣
 
Nikuchekesheeee sasa kuna lijamaa la hapa selfika, linanifuatilia kitamboooo na ninalijuaaa haswaaaa,


Likajifanya kuja na ID ake ingnee, afu kumbe mie naijua had anawarubuni watu wengne, na mchapo niliupata kwa, m1 wapo aliyedinyana nae,
kaja anajifanya kutaka kuni ovetake mie namchora tyuuh hapo, huku najifanya km naingia kwenye 18 zake, baadae akaanza kuni diss nkamuumbua pale pale nkataja na ID ake ya 3, alikua mdogo km priton, uwiiiiiiiih

Na nkamchana aje na ID yake aliyojiunga 2013 ambayo ndo inafahamika mnooooo, sio hizi za 2016 na 2018. Weraaaaaaaaaaaaaaaah, hakuna ingizo jipyaa hapaaaa,


Epuka kuyakanyaga.
 
Yule jamaa 🤣🤣🤣 hivi si mpeane muache kufatiliziana hivyo
 
Weeeee linakufata kutaka nini kwako sasa shost akeee msaganeeeee ama nene shost akee???
Hakuna jipyaaaaa humu ukiukanyaga unauvagaaaa kivyakkkooo shost anguu!!!
Au ukute mwingine anataka kukujua tyu kuthibitisha anayoyasikia labdaaaa
Jf msitu mneneeee!!! Ni kua makuni mnoooo!!
 
cocastic jamaneee nakusubiria sikuoniiiii!! Ubuyu utapoa shoss Angu hebu uje kunipa mie ukute namie nina wa kujaziajaziaaaa .....Do hurry pullliiizzzzzzzzzzzzzzz
Niwacheeeeeeeeeh kwan, kuna mtu alikua ananiimbia "simuachi" by Jux.

Weuweeeeeeeeeee!!! Kupendwaaaaaa rahaaaa afu ile ya dhati sasa, had mwenyewe naogopa na kujistukia.

Utasikia "uko na mimi wee kuwa huru na kuwa utakavyo tunaishi mara 1 tyuuuh". Nyieeeee mniacheeeeeee mie hizo sio shida zanguuu.


 
Huu umbea bila kufunga codes ni batili.
Nyie Mimi mambo ya nahau na mafumbo nilifeli.

Taja taja taja shossteee
 
Safee sana shost akeeeee Maisha Ndio hayahayaaaaaa Enjoyyyy shost anguu ukishikwa shikamanaaaaaa na uache mawenge yakooooo!!
Sio shida zakooo kabisa shost akeeeee wauweeeehhhhh 💃💃💃😘😘😘😘
 
Aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…