Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂😅😂😂😅😅😅😅😅 kikoba na michezo kweli ukiamua unafanya endeleo flani

Mimi friji nilinunuaga na hela za mchezo 🤣 niliongezea tu kidogo
Yaan idumu
Siiachi

Kuna mchezo nikacheza ile hela yote nikamsapraiz mama na baba
Rahaa sanaaa zile blessings zao 😂
Hii michezo ya hela ukiitumia vizuri lazima uenjoy

Ulifanya jambo jema sana didi ake
 
Ila uninga wa kulilia mtu siwezi
Akiondoka namsindikiza na asije tena kunusa pua lake..aisee amtoa nduki.

Ukiondoka ondoka mazima na usonge mbele kama injili.
Kuna mimbuzi linaondoka halafu linakuja tena kukutext...hiyo jeuri anaitoa wapi?
😂😂😂 na unasindikiza kabisa ee

Wengine wanakuja kusalimia, sio mbaya

Kuna zile mbuzi zinazoendelea kukufatilia 😂😂😂
 

Attachments

  • 20220913_105001.jpg
    20220913_105001.jpg
    523 KB · Views: 10
Huku Tanzania ukimkopesha mtu hela unapoteza hela yako na unampoteza na yeye.


Kuna mwingine alikuwa mpendwa mwenzangu..tena kiongozi Fellowship.
Tulipoanza semester nilienda na nguo za mtumba..Mzee wangu alinipa mtaji..nikajumua mtoto wa watu.

Kufika chuo nikamwambia nauza nguo...akaniambia lete nikuuzie maana yeye watu wengi sana wanaenda rum kwake na anajichanganya sana na watu.
Nikampa...alinambia watu wananunua..nikafurahi nikamwambia basi zikiisha utaniambia.

Sikupata hela hata sh mia wala nguo.
Na hakuwahi kuzungumzia chochote na mimi nilikaa kimya hadi leo na nilishasamehe.
pole una roho nzuri
 
Back
Top Bottom