Njoo unitembelee basi 🤗🤗.. Mbona hukutokea temekePazia rangi nzuri.
Leo kuna neema, kwa kuweka c unapajua???
Ndio unanikomoa sio, kisa nimekuacha 🤣🤣Mzigo woote utapanda hapa hapa
Wewe si tumeachana leo leo🤣🤣🤣
Wanatuhamasisha na sisi wababa tuanzishe vikobaGood morning wanaselfika naona humu ndani kuna kikao cha vikoba cha kina mama vp kuna mtu kakimbia na hela za wanakikundi? 😳
Kwa kuweka napajuaa
Usisahau kuselfika
Kale ka selfie na baba yetu





yaan leo neema iko, wee NMB? Aaah nakaba leo leo, sikuachii dama yaan.Ungefanyaje sasa?jamani cweziiiiiiii, weee
hebu toa loc sasa.Njoo unitembelee basi.. Mbona hukutokea temeke
Au ya kule kanda maalum 😂🤠🤠🤠🤠 Mahaba moto moto.. Sio mapenzi kama kambi ya jeshi..
Ungefanyaje sasa?
Hadi tunaondoka chuo mtu yupo kimya tu.
Na akawa anaomba aje akae kwetu maana alipangwa field Mbeya.. nikamwambia haina shida.
Ila baadaye alibadilishiwa sehemu.
Sikuwahi kumwambia Mzee kuwa nilitapeliwa zile nguo.






una nafas yako mbinguni wallahNdio unanikomoa sio, kisa nimekuacha 🤣🤣
Nimemiss enzi zie hatujaachana nilikua napewa vocha hata sijaomba leo hii mie wa kugombania goli daah kweli ya leo sio ya jana
Au turudiane basi kwa saivi af ukishanitumia vocha kila mtu anakula 50 zake😂
Nyie wanaume asilimia kubwa hamnaga uswahili na utapeli labda wachache vibaka ndio watawakwamishaWanatuhamasisha na sisi wababa tuanzishe vikoba
Hapo itawezekana kweli?
Si ngumi zitalia kila kukicha?
Boss umependeza sana hyo nguo niliiyonaga ujeruman anapenda kuvaa gavana wa Frankfurt USD 300Nachukua muamala wa kutosha leo vocha za kufa mtu
Usisahau kuselfika
Acha uoga, si umetoka bank weweIle ya kutolea ndo imekua ya kutisha sana yaani tumerudiana na kuachana leo leo🤣🤣🤣
Af ananukia sana leo, hyo perfume aliyojipulizia ni og sio fambaBoss umependeza sana hyo nguo niliiyonaga ujeruman anapenda kuvaa gavana wa Frankfurt USD 300
🤠🤠 Sasa hivi nimeshikwa,hebu toa loc sasa.
Wapi huko?