Mimi ni mpumbavu..yaani nikiwaga na hela siwezi kumnyima mtu.Unataka kukopa? Kakope salary adv yako huko
Mbona rahisi tu 🤣🤣
Ila mimi michezo sijui kama nitakujaga kuacha 🤣
Ile kitu ni addiction
Na vile haongeagiTuanzishe kikoba cha selfika....
Mkwepu mwenyekiti
Saint Anne ukipata ela naombaMimi ni mpumbavu..yaani nikiwaga na hela siwezi kumnyima mtu.
Tena waliwahi kutoa tarehe za mwanzo mwanzo mimi nikasema nachukua,maisha magumu.
Yeye akakataa akasema anasubiri hadi tar 30.
Imefika jioni tunatoka..tulikuwa tunaongozana..akaniambia anajisikia homa..nimuazime 20 apite hosp.
Nikaenda kumtolea.
Hakurudisha.
Siku zimeenda mara akaja tena nipiga kibomu.
Na nilivyo domo zege hata kudai siwezi.
Halafu analeta mambo ya kucheza vicoba tena cha hela ndefu eti ili tufanye maendeleo..hakiyanani
Nikawaambia mm sina haraka na maendeleo,kwanza nakaa nyumbani bure.
Mbona mbuzi 🤣🤣Sikumblock bwana
Sasa naona ana kiherehere cha kunitext… mbuzi ile haiachikiii 😡 sijui ina akili za wapi ambazo hazitaki kuheshimu maamuzi ya kuachwa 😏😏
Na wewe kwa nn uliniacha?Mbona mbuzi 🤣🤣
Kuachwa kunauma jaman, hasa kama mtu aliyekupiga kibuti bado unampenda.
Itakua anajutia, sema usijibu text zake mpotezee
Wizi hauangalii maisha ya mtu.Sisi tulitendwa na huyo mtu tena alikua wa kishua na tulimuamini kumpa uhasibu maana hakua na njaa😂😂
Sijui nini kilimpata kikundi kilivyokufa, akayeya na pesa zetu
Mimi mshika mapeneeeeeeeTuanzishe kikoba cha selfika....
Mkwepu mwenyekiti
Niombee tu Mjep.Saint Anne ukipata ela naomba
Michezo unaachaje kwa mfanoUnataka kukopa? Kakope salary adv yako huko
Mbona rahisi tu 🤣🤣
Ila mimi michezo sijui kama nitakujaga kuacha 🤣
Ile kitu ni addiction
Nawaomba mselfike......Mselfike
Kwao wana maisha mazuri tu.Huyo ni mwizi
Au alipata shida, unajua shida zinatufanya tuwehuke akili? Unasaka means ya kusovu unakosa,, ni rahisi sana kufanya kitu cha ajabu
Eeh kweli pale niliamini, itakua ni tamaa ilimshika au ana hyo tabiaWizi hauangalii maisha ya mtu.
Ulikua hunitumii na ya kutolea 😂😂Na wewe kwa nn uliniacha?
Shetani mbayaEeh kweli pale niliamini, itakua ni tamaa ilimshika au ana hyo tabia
Wewe hapanaaaaaMimi mshika mapeneeeeeee
Naanza kutuma kuanzia leoUlikua hunitumii na ya kutolea 😂😂
Adi huyo wetu, ana ukibaka ndani yake pamoja na kuzaliwa ushuaniKwao wana maisha mazuri tu.
Siyo mtu wa kutapeli hela za watu 😂 😂 😂
Maisha mazuri ya nyumbani kwenu sio guarantee ya wewe kuwa na hela 24/7 za kutosha kutatua shida zako binafsi…Kwao wana maisha mazuri tu.
Siyo mtu wa kutapeli hela za watu 😂 😂 😂
Jamani me mwema🤣🤣🤣🤣Wewe hapanaaaaa
Wewe tunapigwaaaaaaa