Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shetani anakaa kwenye hela na maneno mqneno 😂


Kuna mtu mpk dk hii sitaki kuamini nimeshindwa kumsamehee na kurudisha ushost
Huku Tanzania ukimkopesha mtu hela unapoteza hela yako na unampoteza na yeye.


Kuna mwingine alikuwa mpendwa mwenzangu..tena kiongozi Fellowship.
Tulipoanza semester nilienda na nguo za mtumba..Mzee wangu alinipa mtaji..nikajumua mtoto wa watu.

Kufika chuo nikamwambia nauza nguo...akaniambia lete nikuuzie maana yeye watu wengi sana wanaenda rum kwake na anajichanganya sana na watu.
Nikampa...alinambia watu wananunua..nikafurahi nikamwambia basi zikiisha utaniambia.

Sikupata hela hata sh mia wala nguo.
Na hakuwahi kuzungumzia chochote na mimi nilikaa kimya hadi leo na nilishasamehe.
 
Huku Tanzania ukimkopesha mtu hela unapoteza hela yako na unampoteza na yeye.


Kuna mwingine alikuwa mpendwa mwenzangu..tena kiongozi Fellowship.
Tulipoanza semester nilienda na nguo za mtumba..Mzee wangu alinipa mtaji..nikajumua mtoto wa watu.

Kufika chuo nikamwambia nauza nguo...akaniambia lete nikuuzie maana yeye watu wengi sana wanaenda rum kwake na anajichanganya sana na watu.
Nikampa...alinambia watu wananunua..nikafurahi nikamwambia basi zikiisha utaniambia.

Sikupata hela hata sh mia wala nguo.
Na hakuwahi kuzungumzia chochote na mimi nilikaa kimya hadi leo na nilishasamehe.
Duuuh! Kwanini hukumuuliza?, Me ningekomaa naye mpaka kieleweke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe dada una roho ngumu.
Unadhani kuachwa rahisi?
Simple healing from any breakup ni kukubali tokeo, umeachwa achika,, muache aende, tena ukijifanya unajua kumfatilia na mambo yake ndio utawehuka kwa maumivu 🤣🤣


Talking frm experience! Mimi sikufikia stage ya kuwehuka,, ila badala maumivu yapoe ndio kwanza yakawa yanazidi 😂😂😂
Nikaona heeee I’ve to be serious, nikakuwa serious then the shit passed like a shadow 😍
 
Wana mioyo ya chuma.
Mimi nikiwa na hela ya mtu huwa nakosa raha

Muda wote naona kama ananidai hivi..na huwa nakuwa mwaminifu nikiazima narudisha kwa wakati.

Ila mtu anajipigia tu hela zote za mchezo.
Wala hastuki.
Unapataje amani ukiwa na hela ya mtu kwa mfano
Sema wapigaji hilo hawajali maana si wako kazini
 
Back
Top Bottom