Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Hayapoagi kirahisi ujuePoleeeeeee 🤣🤣🤣
Inauma sana mtu uachane nae af amove on wewe kiherehere cha kumfatilia kikushike.
Dunia utaiona chungu mbona
Hayapoagi kirahisi ujuePoleeeeeee 🤣🤣🤣
Sina bando la picha, nasubiria vocha hapa nijiungeMidamida
Ebu selfika kabla bando halijakata
Huku Tanzania ukimkopesha mtu hela unapoteza hela yako na unampoteza na yeye.
Kuna mwingine alikuwa mpendwa mwenzangu..tena kiongozi Fellowship.
Tulipoanza semester nilienda na nguo za mtumba..Mzee wangu alinipa mtaji..nikajumua mtoto wa watu.
Kufika chuo nikamwambia nauza nguo...akaniambia lete nikuuzie maana yeye watu wengi sana wanaenda rum kwake na anajichanganya sana na watu.
Nikampa...alinambia watu wananunua..nikafurahi nikamwambia basi zikiisha utaniambia.
Sikupata hela hata sh mia wala nguo.
Na hakuwahi kuzungumzia chochote na mimi nilikaa kimya hadi leo na nilishasamehe.





jamani cweziiiiiiii, weeeNa unaanzaje kuacha kwa mfanomie ndo siwezi kabisaaaa, yaan kila nkijaribu kuacha, nashindwaaa.
Toka niko 4m 5 had leo, siwezi kuachaa yaan.
Leo kuna neema, kwa kuweka c unapajua???Nachukua muamala wa kutosha leo vocha za kufa mtu
Usisahau kuselfika
😂😂😂😂 na hiyo kiherehere yako ndiyo itakayo kumaliza. Itakupitisha kwenye magumu mpaka uchakae akiliHayapoagi kirahisi ujue
Inauma sana mtu uachane nae af amove on wewe kiherehere cha kumfatilia kikushike.
Dunia utaiona chungu mbona
Hatari sie hatutaki mtu kushika Hela ikifika zamu Yako ni moja Kwa moja bank kilamtu anatuma huko unakuja na risit





sisi tunapeana mkononi.Aaaah! Sweet mankaaaa 🤠🤠🤠 kama ndenge vile tunavyopendanaSina bando la picha, nasubiria vocha hapa nijiunge
Uaminifu ni kiduchuuuu.Mkicheza tena bora kila mtu apokee chake direct
Ila la muhimu ni wote kuwa waaminifu






Au ndio maana kuna saa nahisi kudata data, usiku naona maluweluwe nashindwa kulala 🤣🤣🤣😂😂😂😂 na hiyo kiherehere yako ndiyo itakayo kumaliza. Itakupitisha kwenye magumu mpaka uchakae akili
Daah adi ndege wanaenjoy mahaba kunishinda 😂😂Aaaah! Sweet mankaaaa 🤠🤠🤠 kama ndenge vile tunavyopendana View attachment 2355336View attachment 2355337
Yaani siwezagi kudai mtu.pole una roho nzuri
Na unaanzaje kuacha kwa mfano





hatuachiiiii, mchezo ulinipatia Sofa Set, ingine nkamsupraizi mama kwa Wax doti 3 na Dinner set ya vyombo. Mzigo woote utapanda hapa hapaHayo ndio mambo yanatakiwa
Kama vipi nikutumie acc no yangu uniwekee vocha zangu za mwezi mzima huko nisiwe nakusumbua
Pazia rangi nzuri.Aaaah! Sweet mankaaaakama ndenge vile tunavyopendana View attachment 2355336View attachment 2355337
Eeh wapo ila sio wa humu selfika, humu wote waaminifuGood morning wanaselfika naona humu ndani kuna kikao cha vikoba cha kina mama vp kuna mtu kakimbia na hela za wanakikundi? 😳
🤠🤠🤠🤠 Mahaba moto moto.. Sio mapenzi kama kambi ya jeshi..Daah adi ndege wanaenjoy mahaba kunishinda 😂😂
They are so sweet😍😍
Si nimewatamani
Naomba vochaYaani siwezagi kudai mtu.
Ni weakness yangu inayonitesa sana.
Halafu pia siwezi kumnyima mtu.
Ila huwa nawaza,Yeye anajisikiaje?