Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Si unaona Pilot ametokomea tena
Weka nitamsimulia acha janja zako Anne!Si unaona Pilot ametokomea tena
Si unaona Pilot ametokomea tena
Weka nitamsimulia acha janja zako Anne!Si unaona Pilot ametokomea tena
Umetufanya poyoyo sio!!Siyo mimi
Ni nyie tu hamtaki kuja
Picha Ziko tayari kila kitu.
Don't worry
Ibariki asubuhi Yangu mkuu leo nipo Moodless kweli!!
Here waiting mkuu🙇🙇🙇! Fanya kweliDon't worry
Mkononi vinyweleo ndio hivo? Huko ndichi jeee![]()
Ndio maana yule lesbo kwenye uzi wake kule kasema anawaogopa wanaume![]()






khaaaah wee!!!Seriously!!!!Hahahaaa....
GoodHere waiting mkuu! Fanya kweli
Tena last week nimepokea upatu hapa nimejaa adi nataka kujiteka![]()
Upatu udumu kwakweli







Upatu, cashier akitokomea na pesa ni kisanga, nusu nilale mbele na mtu. Sitaki utani kwenye vijisenti vyangu.Nasubiria hio selfii yako mkuuGood
Sie hatuna cashier, kila mtu anapokea hela zake anatumiwa na ya kutolea kabisaUpatu, cashier akitokomea na pesa ni kisanga, nusu nilale mbele na mtu. Sitaki utani kwenye vijisenti vyangu.
Huyu Kapteni Post M-alone ndiye anayetucheleweshaNawewe Saint Anne niwekee chifesiii hiko siku Yangu ianze vizuri asee!!
Kapteni Post M-alone fanya haraka,Unatuchelewesha.Alexprosper Saint Anne bado nasubiria hapa 🙇🙇
Kuna dada alishakula elfu 5 5 za majobless wenzie na mchezo wao ukafia hapo.Sie hatuna cashier, kila mtu anapokea hela zake anatumiwa na ya kutolea kabisa
Mkiwa wastaarabu waaminifu wote mchezo unaenda vizuri na mnaenjoy
Huyo hakua mwaminifuKuna dada alishakula elfu 5 5 za majobless wenzie na mchezo wao ukafia hapo.
Kwa ulimwengu huu wa jobless sijawahi kumwamini yeyote.Huyo hakua mwaminifu
Ni bora mkachaguana mnaojuana na kuaminiana