Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa ulimwengu huu wa jobless sijawahi kumwamini yeyote.

Labda sijui mbeleni huko wakitokea watu waaminifu nitajaribu kucheza.
Huwa nacheza indirect kupitia dada zangu ..Angalau huko kazini kwao vicoba vinaeleweka.

Ila hawa graduates aisee siwezi kubet hela yangu.
Njoo ucheze kwetu
Tuko waaminifu 🤣


Yan nacheza na workmates

Ndio itokee mtu azingue? Ngoma itapanda finance dept 😂😂😂 mbona atakula deduct?
 
Kwa ulimwengu huu wa jobless sijawahi kumwamini yeyote.

Labda sijui mbeleni huko wakitokea watu waaminifu nitajaribu kucheza.
Huwa nacheza indirect kupitia dada zangu ..Angalau huko kazini kwao vicoba vinaeleweka.

Ila hawa graduates aisee siwezi kubet hela yangu.
Au ndugu agemates kama mnaelewana vema.
Maana sisi wengine tuko mikoa tofauti ila mambo yanaenda
 
Njoo ucheze kwetu
Tuko waaminifu 🤣


Yan nacheza na workmates

Ndio itokee mtu azingue? Ngoma itapanda finance dept 😂😂😂 mbona atakula deduct?
Mimi kazini kwenyewe nilikataa.
Yule mdada alishakopa vihela kwangu na hakurudisha.
Tunaanza tu kazi akaleta wazo la mchezo na akajiweka wa kwanza kuchukua.
Walikubali wote,mimi pekeyangu nikakataa kucheza.
Wakasema acha uoga..ila roho yangu iligoma.

Alikaa miezi michache tu akaondoka.
 
Mimi kazini kwenyewe nilikataa.
Yule mdada alishakopa vihela kwangu na hakurudisha.
Tunaanza tu kazi akaleta wazo la mchezo na akajiweka wa kwanza kuchukua.
Walikubali wote,mimi pekeyangu nikakataa kucheza.
Wakasema acha uoga..ila roho yangu iligoma.

Alikaa miezi michache tu akaondoka.
Unataka kukopa? Kakope salary adv yako huko
Mbona rahisi tu 🤣🤣

Ila mimi michezo sijui kama nitakujaga kuacha 🤣
Ile kitu ni addiction
 
Simply huo ni wizi.
Walianza kunitafuta kuuliza kama najua nyumbani kwao huyo mdada.
Bahati mbaya sijawahi kufika.
Mimi sikujua kama wanamdai.

Kwanza aliblock watu wote..
Na sijui alihisi watanituma maana tulikuwa mkoa mmoja.
Akaniblock..baada ya mwaka hivi ndio akarudi hewani.

Sasa nikatuma namba aaddiwe kwenye grp ndio wakaanza kufunguka kuwa kuna kicoba aliwatapeli watu.
 
Walianza kunitafuta kuuliza kama najua nyumbani kwao huyo mdada.
Bahati mbaya sijawahi kufika.
Mimi sikujua kama wanamdai.

Kwanza aliblock watu wote..
Na sijui alihisi watanituma maana tulikuwa mkoa mmoja.
Akaniblock..baada ya mwaka hivi ndio akarudi hewani.

Sasa nikatuma namba aaddiwe kwenye grp ndio wakaanza kufunguka kuwa kuna kicoba aliwatapeli watu.
Huyo ni mwizi

Au alipata shida, unajua shida zinatufanya tuwehuke akili? Unasaka means ya kusovu unakosa,, ni rahisi sana kufanya kitu cha ajabu
 
Back
Top Bottom