Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Maisha ni magumu bwana 🤣🤣Tutafute hela didi ake
Maisha sio magumu hivi
Af niliona sehemu eti mwanamke hatakiwi kupambana, ni vile tu shida zimetujaa😂😂
Imagine una hela sijui ka salary lkn unaishiwa 😂😂😂😂😂
Mwanamke pambo la nyumba wapwani wanasema…
Shida wanaume wenyewe watakubali uwe pambo? Tozo zote watakuwa tayari kuzibeba peke yao?







