Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Jina tu ndio linavutia ila story zake za kiwaki kweli!!
Yani nihekaheka za mahusiano tu......



Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Jina tu ndio linavutia ila story zake za kiwaki kweli!!
Yani nihekaheka za mahusiano tu......



Unaweza muita hivyo hubby wakoHuyo amekuaje
Kwa technique zipi?
😂😂😂 ur oxygen is in Chuga 😂😂Pole didi ake, umepaliwa na nini🤣🤣
Kuna mapya gani? Hii week niko busy hadi najihurumia 😢 nachoka mno, nikifika home nikila, nikijiegesha tu nimeenda na usingizi 🤣Mekumiss shogaa, umepotea humu
Ila hapo kwa mama BK, em refresh your memory vizuri
Amen jirani, ubarikiwe pia.Sawasawa jirani. Mungu akubariki sana..
Kumbe ndio maana nashindwa kupumua vizuri huku jamani🤣🤣🤣😂😂😂 ur oxygen is in Chuga 😂😂
Kwahiyo bwanako ni msukule? 😂😂 si niende tu nikaku snitch nikusemelee?Uwiii mbona purukushani hivyo.
Haya mambo ya mahusiano yako complicated sometime hapo la muhimu ni kubebana tu na msukule wako ambaye mnamatch basi mnapambana na hali zenu maana kila sehemu tafrani.
Mapya hamna, tozo tu kila konaKuna mapya gani? Hii week niko busy hadi najihurumia 😢 nachoka mno, nikifika home nikila, nikijiegesha tu nimeenda na usingizi 🤣
Shemeji BK unanikana
😂😂😂Kumbe ndio maana nashindwa kupumua vizuri huku jamani🤣🤣🤣
Mpaka 2080 🔭🌍
🤣🤣🤣Kwahiyo bwanako ni msukule? 😂😂 si niende tu nikaku snitch nikusemelee?
Labda elfu ila sidhanJe zinazofungwa ni ngapi? Ili tufanye hesabu
Mapya hamna, tozo tu kila kona
Nakumiss tu mie
Yaani pilika pilika zinachosha mwili balaa na ndio kwanza j5
Weeee aku usinisingizie😂😂
Naona umejichokea hasa😂
Awapiii 😂😂😂 nakusagia mpaka mifupa🤣🤣🤣
Jinsi amekufa ameoza hapa, sidhani kama atakuskiza
Heri waachane kuliko kukatana mapanga…
Tutafute hela didi akeNikiwa mkubwa
Nitakuwa mjasiliamali
Niamke saa 4 😂😂😂😂 nikaangalie kijana wa dukani anaendeleaje 😋
Mambo ni mengi muda hautoshii
Hamtaki kutulia mnataka hela za kwendana na fashoooni mjini sasa lazima uchakarikeTutafute hela didi ake
Maisha sio magumu hivi
Af niliona sehemu eti mwanamke hatakiwi kupambana, ni vile tu shida zimetujaa😂😂
Ukiniharibia ujue nitapauka, na sidhani kama utapenda hilo linitokee mie shoga ako tumetoka mbali😂😂Awapiii 😂😂😂 nakusagia mpaka mifupa