🤣🤣🤣🐵🐵 Mie kimasihara tu
🤣🤣🤣🤣Nyoko 😹
Hujaona mkeka wote huo 😀😀😀🤣🤣🤣🤣
Kwanini lakini
Jina linasound so interestingHabari picha!
Pia kuna Manala 🙃🙂🤣🤣🤣🤣
Kwanini lakini
Jina tu ndio linavutia ila story zake za kiwaki kweli!!Jina linasound so interesting
Story yake ikoje
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Huyu Kenge ningemng'oa mayai
Abeee mama BK
Koh koh koh yaw yawheeeNikikumbuka kuna mutu niliwahi save my oxygen na sasa hata sijui yuko pande gani ya dunia aki nakosa nguvu
Sijambo jirani, wewe je..Jirani yangu myoyambendi uhali gani
Me niko bomba jiraniSijambo jirani, wewe je..
Pole didi ake, umepaliwa na nini🤣🤣Koh koh koh yaw yawheee
Mekumiss shogaa, umepotea humuAbeee mama BK
Uwiii mbona purukushani hivyo.Jina tu ndio linavutia ila story zake za kiwaki kweli!!
Yani nihekaheka za mahusiano tu.. kuna mzee mmoja na mkewe waliona wakakaa 31 years with 3 kids badae mzee kamchoka mkeweee kapata ka binti kabichiiii akataka waachane watoto wakamdindiaa hakuna kumuacha mamaa na uzee wote huo... mwingine kijana na mkewe wa ndoa kabisaaa ndani mambo si mambooo hawagusanii hata kumbe mume anateleza huko nje na ka mchep hadi kakapa preg ka mchep badae kakapeleka kwa wazazi wake kwakua kana mimba yake..mke kwenda kukomlein ukweni wazazi hataa wako upande wa ka mchep... mwingine kijana ana wachumba kama watano hivi kawapanga balaa Yani ni matukio hayooo hayoo tu ya majanga ya ndoa Kwamba Hakuna kwenye ahueni!
Nikikumbuka kuna mutu niliwahi save my oxygen na sasa hata sijui yuko pande gani ya dunia aki nakosa nguvu













Huyo amekuajePia kuna Manala 🙃🙂
Oxygen tena jaman nyie ndo mnatumalizia hewa kumbe duniani![]()









Sawasawa jirani. Mungu akubariki sana..Me niko bomba jirani