Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,992
- 48,493
Njaa usiku Sasa🤣Nijikute tu nakula matunda pekeyake halafu nilale
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Njaa usiku Sasa🤣Nijikute tu nakula matunda pekeyake halafu nilale
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hapa ntak nipike chai🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani sio kwenye matunda 🙈🙈
🤣🤣Watapigana makonzi, sasa shida kufanya scrub dume kwa dume. Uwiiiiiiiiih
Na mai wako ukimbebesha mamiguu yote mabegani naye huwa anaelemewa? Hata sijui ni swali gani hili wallahi 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Huwa nawaoneaga huruma sna maana mguu ni mzito aloo…akianza kuusugua dakika tano nyingi jasho linamtoka😁😁😁..nikishakula kaptura yangu woi najidai kama simuoni but deep down naujua…🤣🤣
Siku nikimpata mai wangu hakika nitakuja kulijibu hili swali vizuri 😎🧐Na mai wako ukimbebesha mamiguu yote mabegani naye huwa anaelemewa? Hata sijui ni swali gani hili wallahi 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Niko hapa, umeshanipataSiku nikimpata mai wangu hakika nitakuja kulijibu hili swali vizuri 😎🧐
BLSelfika Hakuna kukaa singo wewe tunakukabidhi Wigelekelo usitutanieeee ?? Au Tukupe Shimba ya Buyenze kabisa Putin ana micheps miaa atakupasua kichwa yule
Mdomo komaa![]()


Yani Shimba ya Buyenze ni mtu wa muhimu mno kumpa majibu mepesi ni kitu ambayo sijawahi kuwaza.Niko hapa, umeshanipata
Naomba umjibu chap
Eeeh nimechelewaa kipenzi. Lakini si neno. Heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa dear.Today, I just want to thank God for adding another year to my life.
Haha! Unasoma ka page tuwili tuUnataka kuniua 😵😵
Nna zaidi ya wiki mbili sijasoma alafu unataka kunipeleka kwenye mavitu magumu hivyo??😮💨😮💨
Hadi nawaambia jamaniHata ukiwabembeleza??
Usikute kitu kidogo to unawakoromea....🥴🥴
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Mtakatifu mwite yule baby wetu achukue jimbo hapaNdo ukweli huo Sissy
Hakuna anaenimiliki kwa Sasa
Thank you for the compliment . Wewe ni mzuri sana na zigo kama lote
Thank you Jojo ❤️Eeeh nimechelewaa kipenzi. Lakini si neno. Heri ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa dear.
Hahaha thank youMtakatifu mwite yule baby wetu achukue jimbo hapa
dah vijana wako wapi wanaacha jimbo hiliNdo ukweli huo Sissy
Hakuna anaenimiliki kwa Sasa
Thank you for the compliment . Wewe ni mzuri sana na zigo kama lote
Acha nijipende mwenyewe tu yatosha .dah vijana wako wapi wanaacha jimbo hili