Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Labda unisomee na parrots wawe wanarudia rudia mie nisikilize tu 🙂Haha! Unasoma ka page tuwili tu
Labda unisomee na parrots wawe wanarudia rudia mie nisikilize tu 🙂Haha! Unasoma ka page tuwili tu
Ooh pole , Chuo nafuu kidogoLile boom kidogo lilikuwa linanipa nguvu.. Japo siku za mwanzo nilikuwa najihisi unyonge sana.
Na angalau akili inakuwa imekomaa kiasi.
Ila Sekondari Dah
Unawaacha wazazi unaingia mikononi mwa walimu wenye kila aina ya vitisho.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😂Wale wajinga waliona fimbo ni sifa Dah!Ooh pole , Chuo nafuu kidogo
Mimi shule niliyosoma walitutesa mno , maisha yalikuwa magumu , nilikuwa naonewa kisa upole wangu ... Hii imeniaffect hadi leo




Pamoja na mateso yote yaliyokuwepo Shuleni ila bado nilikuwa navuta.mie siku km ya leo nazururaa town, shule n j5.
Shule hizi dah , sema ilinijenga visheria vyao ukikutwa umesimama na mwanaume iwe mita 2.😂Wale wajinga waliona fimbo ni sifa Dah!
Bora hata Olevel..A level ilikuwa kupigana kizembe kama ng'ombe Dah!Kufundisha chenga.
Nilitokea kuichukia shule...Hadi sasa nawaza sijui hata nilivuka vipi ile level
Hapo bado hujapambana na purukushani za Chakula.
Kula Kwa Foleni.
Huku serikalini walitugeuza watoto wa watu ng'ombe.Shule hizi dah , sema ilinijenga visheria vyao ukikutwa umesimama na mwanaume iwe mita 2.
Ni Mungu tu aliutuvusha , Mimi nilikuwa na karoho kepesi nilikuwa nalia tu mie huku sina cha kufanya .
Mabaya
Kuna nyingine ni private ila zinatesa watoto . Kama hiyo niliyosoma aisee mazingira yalikuwa magumu , nilipambana hadi nikahama.Huku serikalini walitugeuza watoto wa watu ng'ombe.
Mimi Mungu anisaidie nisije kupeleka mtoto shule za kimasikini na zenye mateso.
Sema mimi angalau nilikuwa siteseki sana maana nilijiwahi mapema kuchukua kibali Cha ugonjwa..
Adhabu sifanyi na kazi nilikuwa sifanyi.
Siku moja nilienda Asubuhi ya siku shule masomo yanaanza😂J3.
Niliongozana na Shem wangu, Alikuwa Mwalimu pale.
Zimepita siku2,mara Mkuu wa Shule amecharuka,anafukuza watu wakaite wazazi .Wale wote ambao hawakufika j2.
Fimbo zimepita,hapo mm nimechuchumaa pembeni,nashuhudia watu wanavyosulubiwa pale.
Na tunasubiri barua za kuondoka...
Alipofika shemejii akaja kunitoa,akasema huyu Mkuu aache upumbavu,nenda darasani.
Kisa ?Mabaya
Ulichonifanyia Jana mungu anakuonaKisa ?
Mambo gani ya kukumbushana shule mm nimesoma o level shule 6Huku serikalini walitugeuza watoto wa watu ng'ombe.
Mimi Mungu anisaidie nisije kupeleka mtoto shule za kimasikini na zenye mateso.
Sema mimi angalau nilikuwa siteseki sana maana nilijiwahi mapema kuchukua kibali Cha ugonjwa..
Adhabu sifanyi na kazi nilikuwa sifanyi.
Siku moja nilienda Asubuhi ya siku shule masomo yanaanzaJ3.
Niliongozana na Shem wangu, Alikuwa Mwalimu pale..
Akawa ananiambia kuwa hawatawazingua kweli,nikasema sijui.
Zimepita siku2,mara Mkuu wa Shule amecharuka,anafukuza watu wakaite wazazi .Wale wote ambao hawakufika j2.
Fimbo zimepita,hapo mm nimechuchumaa pembeni,nashuhudia watu wanavyosulubiwa pale.
Na tunasubiri barua za kuondoka...
Alipofika shemejii akaja kunitoa,akasema huyu Mkuu aache upumbavu,nenda darasani.
Unaonekana tu😂😂Mambo gani ya kukumbushana shule mm nimesoma o level shule 6
serikalini nimesoma
Mission nimesoma
Adventist nimesoma
Islamic nimesoma
Kuna shule nilisoma wiki 2 tu nikafukuzwa
Private za manyanyaso tena?Kuna nyingine ni private ila zinatesa watoto . Kama hiyo niliyosoma aisee mazingira yalikuwa magumu , nilipambana hadi nikahama.
Basi huko ulikuwa unavuta eeh , bahati hiyo shemeji alikuwako pembeni
Oi. Jana tuliwasimamisha Arsenal kidogo. Unaliongeleaje hili suala?Nyie watu mlio single mmeshindaje![]()
Timu lishakuwa la kifreemason hiloOi. Jana tuliwasimamisha Arsenal kidogo. Unaliongeleaje hili suala?
Mashabiki wa Manchester United mpewe ulinzi na epl kombe mnabeba mapema tu sasa naomba muwashikishe adabu cheltakoOi. Jana tuliwasimamisha Arsenal kidogo. Unaliongeleaje hili suala?
🤣🤣. Tena kama wewe. Nilikuwa naona mapovu yako kwenye jukwaa lenu lile. Inaonekana Klopp kakuvuruga sanaTimu lishakuwa la kifreemason hilo
Kweli kabisa. Usalama wetu ni mdogo sana mtaaniMashabiki wa Manchester United mpewe ulinzi na epl kombe mnabeba mapema tu sasa naomba muwashikishe adabu cheltako
Timu pekee ya kuifunga Manchester United ni mahakama tu