Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
Zimekaa sana mbona mrembo mwenye guu lake !!😘😘
Zimekaa sana mbona mrembo mwenye guu lake !!😘😘
Mm mbna camera hainitoi hivo Hilo og kabisa 🤣🤣🤣Mweh asante Kamera mamaa!😉😉😘
Usiniambie kiranga kwisha kabisa🤣🤣😂Nilikuwa ugenini sehemu nikataja nifanye facial usowang sikuhiz haujakaa sawa nikatafuta saluni nikakosa nikaingia ya kiume nikaona facial ni kipengele nikamuomba anifanyie scrub 😂
Nikasuguliwa wew inafutwa napakwa nyingine akasugua sura akafuta akapka nyingine mara ya nne nikamstopisha 😂😂akasema na shingo nikamwambia acha akasema bas nimalizie sura nikupake Tena 😂😂
Nikakubali akapaka akanisugua uso akanambia dada vipi nikufanyie scrub na lips😂😂nikaona mambo yashakua mengi nikamwambia nifute niondoke
Awapi Madam ni kamera tu mamaa!Mm mbna camera hainitoi hivo Hilo og kabisa 🤣🤣🤣
Aisee madam mzuri sana shemeji kaopoa pisi Kali
Hakuna ufutio ukafuta hicho kiwingu hapo mam
Ningekupeleka Kwa huyo kaka 😂😂Usiniambie kiranga kwisha kabisa🤣🤣
Kiukweli Napenda kushikwa shikwa miguu Kwa kusuguliwa🥰🥰
Kufanyiwa massage ya kichwa☺️☺️☺️Kutolewauchafu sikioni🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Naweza lala hapo hapo aise
Waone wataalamu wenye maarifa hayo wapo humu🤣🤣😂😂!!Hakuna ufutio ukafuta hicho kiwingu hapo mam
Kiranga kiliisha😂😂scrub ya lips hapana aiseeUsiniambie kiranga kwisha kabisa🤣🤣
Kiukweli Napenda kushikwa shikwa miguu Kwa kusuguliwa🥰🥰
Kufanyiwa massage ya kichwa☺️☺️☺️Kutolewauchafu sikioni🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️Naweza lala hapo hapo aise
Mnoooo🥰🥰🥰Aisee madam mzuri sana shemeji kaopoa pisi Kali
😆😆😆kwakweli poleKiranga kiliisha😂😂scrub ya lips hapana aisee
😂Na hiv tumekosa tako na Hela hatuna 🤣🤣Mnoooo🥰🥰🥰
Akipiga ile style na mbinuko🙄🙄🙄mambo si mambo nyie.
Flatscreen kwakweli twende uturuki tu hakuna namna💔💔
Hahahaaa... unafaa ukaimu katibu madam kiongozi wenu C. Putin!Aisee madam mzuri sana shemeji kaopoa pisi Kali
Waone wataalamu wenye maarifa hayo wapo humu🤣🤣😂😂!!
Kwakweli ni huzuni mno😂Na hiv tumekosa tako na Hela hatuna 🤣🤣
Nilikuwa ugenini sehemu nikataja nifanye facial usowang sikuhiz haujakaa sawa nikatafuta saluni nikakosa nikaingia ya kiume nikaona facial ni kipengele nikamuomba anifanyie scrub
Nikasuguliwa wew inafutwa napakwa nyingine akasugua sura akafuta akapka nyingine mara ya nne nikamstopishaakasema na shingo nikamwambia acha akasema bas nimalizie sura nikupake Tena
Nikakubali akapaka akanisugua uso akanambia dada vipi nikufanyie scrub na lipsnikaona mambo yashakua mengi nikamwambia nifute niondoke








mnakutana na vituko sana huko kwenye urembooo.






wote hao ni wanafunzi wangu, uchawa na upambee nauweza mie tyuuh, wengine wanaigaa.Eti "kinondoni na Magomeni vijana wengi wa kiume wametelezea chooni" mama m1 alisema venye kwenye media.Nn aunt![]()











Mrembooooo km mrembooooo,



