Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpaka mwenyewe umewaonea huruma masikini dah!

Walikuwa na hali gani wakati wakiliosha hili guu? 😁😁😁😘😘😘
Huwa nawaoneaga huruma sna maana mguu ni mzito aloo…akianza kuusugua dakika tano nyingi jasho linamtoka😁😁😁..nikishakula kaptura yangu woi najidai kama simuoni but deep down naujua…🤣🤣
 
Uwiii pole🥺
Sehemu za hivyo zinauma hadi unaweza kuomba pooo...
Hasa ukikaa muda mrefu,wakati wa kunyanyuka sasa.
Au asubuhi 🙌


Niliwahi gonga mguu maeneo hayo kwenye mota ya Bomba..
Ilikuwa harakati za kufukuza kuku wa kuchinja😂,nikakosea timing,badala ya kuruka ile mota nikaenda kugongesha mguu.
Mimi niliuwahi na Diclopar ya kuchua.. nyingine nikanywa hali ikawa angalau.
Kuku alipatikana lakin🤣
 
Uwiii pole🥺
Sehemu za hivyo zinauma hadi unaweza kuomba pooo...
Hasa ukikaa muda mrefu,wakati wa kunyanyuka sasa.
Au asubuhi 🙌


Niliwahi gonga mguu maeneo hayo kwenye mota ya Bomba..
Ilikuwa harakati za kufukuza kuku wa kuchinja😂,nikakosea timing,badala ya kuruka ile mota nikaenda kugongesha mguu.
Mimi niliuwahi na Diclopar ya kuchua.. nyingine nikanywa hali ikawa angalau.
Acha tu kipenzi!! Asante!! Na kupona kwake napo it takes time!! Sema nashukuru mungu nimepata nafuu walau
 
Niko poa kabisa. Man u wamefanya nimalize weekend yangu vizuri sana.
Ahaa nikasema au umeamua kumrusha Depal roho na ww?
Hahaa hongereni mno, so tunaenda kujipongeza wapi na ushindi huo

Nilimlipizia na yeye ili afeel the feeling😅
Nimegundua kumbe ananipenda maana alikua anapiga simu kama zote adi kanipata😂😂
 
Nini kimekukuta?

Sharti la kwanza nikijua naenda kusugua masagamba ni lazima nivae kipensi 🤣🤣
😂Nilikuwa ugenini sehemu nikataja nifanye facial usowang sikuhiz haujakaa sawa nikatafuta saluni nikakosa nikaingia ya kiume nikaona facial ni kipengele nikamuomba anifanyie scrub 😂
Nikasuguliwa wew inafutwa napakwa nyingine akasugua sura akafuta akapka nyingine mara ya nne nikamstopisha 😂😂akasema na shingo nikamwambia acha akasema bas nimalizie sura nikupake Tena 😂😂
Nikakubali akapaka akanisugua uso akanambia dada vipi nikufanyie scrub na lips😂😂nikaona mambo yashakua mengi nikamwambia nifute niondoke
 
Back
Top Bottom