Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tupo wengi aisee
Sikuwahi kupenda shule na nilikuwa nahuzunika kuaacha watu nyumbani .
Niliendelea na tabia hii hadi nipo chuo
Bora hata Chuo nilikuwa sijisikii unyonge sana.
Ila Secondary aisee,, sikuwahi kupenda kwenda shule...na Nilikuwa najitahidi kuvuta siku mbili tatu lakini wapi!zinakimbia haraka kama Upepo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Bora hata Chuo nilikuwa sijisikii unyonge sana.
Ila Secondary aisee,, sikuwahi kupenda kwenda shule...na Nilikuwa najitahidi kuvuta siku mbili tatu lakini wapi!zinakimbia haraka kama Upepo.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Watu tumelazimishwa kusoma la sivyo tungeishia la saba .

Sifa na utukufu kwa Mungu na
Pongezi kwa wazazi wetu kwa kujitoa kwao na walimu kutufundisha ili tuelewe .
 
Watu tumelazimishwa kusoma la sivyo tungeishia la saba .

Sifa na utukufu kwa Mungu na
Pongezi kwa wazazi wetu kwa kujitoa kwao na walimu kutufundisha ili tuelewe .
Lile boom kidogo lilikuwa linanipa nguvu.. Japo siku za mwanzo nilikuwa najihisi unyonge sana.
Na angalau akili inakuwa imekomaa kiasi.

Ila Sekondari Dah
Unawaacha wazazi unaingia mikononi mwa walimu wenye kila aina ya vitisho.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
20220905_094326.jpg
 
Back
Top Bottom