Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsanteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!

Kuolewa na kuoa sio lazima, ni hiyariiiiiii,
Kuna maisha mengine nje ya ndoa, weraaaaaaaaaaah.

Una akili saana dear, yaan unataka zawadi gan nikupeeee. Umeandika kitu had moyo wangu umekunjuka, woyoooooo!!!!
Thank you babe
Mambo mengine sio lazima .
Yatakuja yenyewe tu

Twende movie tukaangalie , tujiliwaze usingle wetu 😂😂
 
Niliteguka nduguu!! Hapo kwa ankle kushoto nikitembea panauma hatari!
Uwiii pole🥺
Sehemu za hivyo zinauma hadi unaweza kuomba pooo...
Hasa ukikaa muda mrefu,wakati wa kunyanyuka sasa.
Au asubuhi 🙌


Niliwahi gonga mguu maeneo hayo kwenye mota ya Bomba..
Ilikuwa harakati za kufukuza kuku wa kuchinja😂,nikakosea timing,badala ya kuruka ile mota nikaenda kugongesha mguu.
Mimi niliuwahi na Diclopar ya kuchua.. nyingine nikanywa hali ikawa angalau.
 
Back
Top Bottom