myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,061
Mungu atupe siku njema 🙏
Good morning motivational speaker 😍
Ni Karani wa mchongo huyoNilihesabiwa 😁 emu tulia
😊🙏Hizo sahani ulivyozipanga nimezipenda.
Good morning mchumba, umeamka mapema sn😀Good morning motivational speaker 😍
Mungu ni mwaminifu, nilitamani leo niwahi kuamka ili niwahi ibada...kweli Roho Mtakatifu ameniamsha mapema,utashangaa nachelewa Tena🤣Good morning mchumba, umeamka mapema sn😀
Wahi kanisani uniombee na mimi nipunguze dhambi😊Mungu ni mwaminifu, nilitamani leo niwahi kuamka ili niwahi ibada...kweli Roho Mtakatifu ameniamsha mapema,utashangaa nachelewa Tena🤣
Tupo chiefLeo watu wamelala au bado wako busy na mizagumuano ya morning glory kukwichikwichi
Cha asubuhi😬😬Leo watu wamelala au bado wako busy na mizagumuano ya morning glory kukwichikwichi
Amen SH na itakuwa kama unenavyo👏👏Kama Ezekiel alivyoambiwa na MUNGU itabirie uhai hii mifupa mikavu na kisha akaitabiria uhai ikaamka na kuwa jeshi kubwa,basi km wewe ni mfanyakazi wa kawaida (mifupa mikavu) hapo ofisini kwako basi nakutabiria kuwa utakuwa bosi mkubwa sn..sema Ameen
Chakorii is typing...Amen SH na itakuwa kama unenavyo👏👏
Amina..ikawe heri pia kwako mremboHabari za jumapili wapendwa.
Mkawe na siku iliyobarikiwa wakuu
Sasa unakuta mtu anatype weeeee Hadi unasema huyu jamaa anaandika mkeka wa maana😄😄 cha ajabu akipost unakuta kaandika mstati mmoja alafu unabaki kujiuliza ina maana muda wote ule ndy alikuwa anaandika haya maneno mawili Tu?? 😅😅Kweli jf kama whatsap kificho ndio kitu hakuna😆😆
mbona mapema, cha asubuhi hakipo ? maana tujuavyo kile kina kurudisha on bed 😁😁Amen SH na itakuwa kama unenavyo👏👏
We jamaa asee😅😅..wengine wanaamka saa kumi usiku kwenda kupambanambona mapema, cha asubuhi hakipo ? maana tujuavyo kile kina kurudisha on bed 😁😁