Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Upo sahihi kabisa mkuu. Zoezi wamelifanya liwe gumu na gharama wao wenyewe na hata kupata data kwa ufanisi ni ngumu sana, watajukuta wana garbage za kutosha. Kwa technologia ilipofikia kupata idadi ya watu kwa usahihi ni rahisi sana tofauti na njia walio chagua wai. Ila tuishi nao tu, nili wish kunesabiwa ila paka sasa hivi sijahesabiwa
Watafiti wengi wanakosoa data zetu haswa upande wa research.
 
Mkuu itakuwa we ni mgeni, huyo mtu ni shoga unless kama ni mtumiaji, hawakuambii ukweli wanakuenjoy na kukuchekea kinafiki, umekuwa kiburudisho, but huyo coca wako ni shoga na ndio maisha aliyochagua, kama ni mtumiaji fresh we kula tunda...

Nakutaarifu tu, cause hata profile yako umejiweka wazi, na selfie zako huzibi sura...
Kumekuchaaaaaaaaaah JF,
Nimecheka hadi baas, vipi ni hili tyuuh ndo umetaka kuu taarifu umma wa Selfika au una lingine tenaaa?? Nikusaidie mwenyewe???
 
Back
Top Bottom