National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
Eeh! kila mtu abebe msalaba wakeWe do both..
Eeh! kila mtu abebe msalaba wakeWe do both..
Shati zuri.Bridegroom 🤵
View attachment 2335841
Kulana giza ni makosa kama makosa mengine 😃😃😃 ambayo unaweza jikuta mikononi mwa vyombo vya sheria... piga mataa kama yale ya uwanja wa ben mkapaaa unaona hadi utumbo 😅😅😅😂🙌 Mbavu zangu na kweli huyu National Anthem siyo wa kumwamini anaeza jikwaa kusudi!
Mimi huyu 😀😀😀.. naona kama nishapitwa na wakati.. mdada akila hata mwekundu wangu ajue ana Mungu wa Yakobo na Yusufu.. kila mtu atafute chakeNi swala la muda tu mkuu😅😅
Siku nikiwa boss nitafurahi sana..Nzuri kabisa bosi..za wewe bosi wangu
Ni swala la muda narudia tenaMimi huyu 😀😀😀.. naona kama nishapitwa na wakati.. mdada akila hata mwekundu wangu ajue ana Mungu wa Yakobo na Yusufu.. kila mtu atafute chake
Miss you mnoo Shoss angu umenisusaaaa hadi naogopa!!Hellowwww fwendoooh!!!!
Shouxxxxxxxxxxxxxxx!!!
![]()
Vitu vyako unavyopenda hivo shoss ! Dizain ya kina Carrasco putinnimejikuta nacheka tyuuh.
Wee shouzzzzzzz mie nipoooo, tatizo majukumuuu yaan yamenibanaa had nakosa muda wa kuswampaaa mtandaoni, vipi uko poaaaa???Miss you mnoo Shoss angu umenisusaaaa hadi naogopa!!





Lol pole na Hongera kwa majukumu dear !Wee shouzzzzzzz mie nipoooo, tatizo majukumuuu yaan yamenibanaa had nakosa muda wa kuswampaaa mtandaoni, vipi uko poaaaa???
Mic u mnoooo.![]()
Jamaniiiiii! Jamaniiiiii😉hapanaaaa hajashawishiii badooo.
Mic u mnooooo shougareeeee ake,Lol pole na Hongera kwa majukumu dear !
Mie nipo nimejaa tele humuu! Miss you more shoss akee!!








Nimeambiwa home nilishahesabiwa,Good morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Jamaniiiiii! Jamaniiiiii![]()





nimecheka mnoooo, afu sijui kwann. UwiiiihShoss hujanibles kitambo ujue nimemiss pozes mie nifanyie wepesi dakika sifuri Jamaniiii!!Mic u mnooooo shougareeeee ake,![]()
Wee si wapenda wembamba warefu weye jipatie mamdo Putin hapo bwana!!nimecheka mnoooo, afu sijui kwann. Uwiiiih
Nimeambiwa home nilishahesabiwa,
Sijawahi bahatika kukutana na karani wallah,nikikutana na karani lazima nimfotoe,





kwann sasa umfotoe?? Si wamekatazaaa??? 



nilicheka sanaa.acha basi 😃😃😃😃 tena yangu haiguswi kama utelezi na mengineyo acha nikoseNi swala la muda narudia tena
Wee si wapenda wembamba warefu weye jipatie mamdo Putin hapo bwana!!





akuuuuh huyo size yako eti, mie single person suguuu. Sitaki heka heka za maloveee, mie ni kula, kulala na kuswampaaaaa.