Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeambiwa home nilishahesabiwa,

Sijawahi bahatika kukutana na karani wallah,nikikutana na karani lazima nimfotoe,
kwann sasa umfotoe?? Si wamekatazaaa???

Mama juzi ananiambia, yaan ningekuepo home yule karani angejuta mbna, anasema wanauliza maswali mengine ambayo hayana hata umuhimu, nkachekaaaa.

Afu karani mwenyewee n mdada, mama ananambia ungekua wee kichaaa ungemsuuza had baas, uwiiiiiiih.

nilicheka sanaa.
 
Back
Top Bottom