National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
😂 na Depal alivyo na aibu utaskia National Anthem zima taa! 😂🙌😁😁😁 anaweza hadi dimpoz zikapotea mwezi mzima 🫣🫣🫣
Vipi Kina Fred Vunja Bei





khaaaahHellowwww fwendoooh!!!!Helloowww selfika!!




Mic u shougareeeeeeee ake,Atarogwaaa shauri yake!!!
Wee shoss upoo?? Sio kwa ukimya huo shoss angu miss you Jamanii!!![]()




COCA ndo alisema ni mafungu ya nyanya mm nkamwambia ile ni rungu kama anataka kujua ni rungu apee jux kitumbua ndo atajua nikitu







sasa wee kuna rungu paleee?? Au macho yako yapo holidei ya Sensa????Anaongea public ili kupata kick. Hata kama hela unazo huwezi kuwa unagawa gawa gawa hakuna kitu kama hichoVipi Kina Fred Vunja Bei
😁😁😁 cha kuzima taa akinogi alafu .. utamu wa mechi muonane uone kila kituu😂 na Depal alivyo na aibu utaskia National Anthem zima taa! 😂🙌
Kho kho kho khokoh kho.Mimi siyo mrefu wewe...
Mimi ni "Tall" ila sina hakika kama ni "Dark" kuna ka lotion flani natumia keusiii kama mkaa nafanya jitihada nione kama December itafika nikiwa nimefanikiwa kuwa Dark ili mama mchungaji Heaven Sent anisajiri kwenye kile chama😁
Ila bahati mbaya sina uchebe, ndevu zangu hazina ushirikiano😔
Situmii mtandao wa Tigo mie, au wee ndo unataka kumbariki Tigo huyu Cuzooo???Tafuta simcard ya tigo ubarikiwe tigo na coca..












nimejikuta nacheka tyuuh.Habari yako boss .Nakusalimia chakorii🙌