Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 670
- 2,278
Kwaiyo mm ndo muonyesha mfano etMimi huwa natupia mubashara bila emoj..
Wanaoweka emoj hawajiamini tu!
Waonyeshe mfano cuzi akee
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo mm ndo muonyesha mfano etMimi huwa natupia mubashara bila emoj..
Wanaoweka emoj hawajiamini tu!
Waonyeshe mfano cuzi akee
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nashawajua nyinyi tupien na nyinyi zenu mkuwa mmeweka maemoj uson kama maninja wa kijapanesPost tena nyingine
Ukiwa na ile kofia yako Cuzoo....inakutoa safi sana.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Upo wapi mdogo wangu?kama dar kesho upo free?
Ng'ombe unao?Toka sijazaliwa nayajua mahaba
Nimekupenda muda mrefu kabla ya mwanzo wa nyakati na nitakupenda hata wakati kumbukumbu zetu zitafutwa kutoka kwa uso wa Dunia.
Unajua siri za moyo wangu una ufunguo wa kufungua moyo wangu na nina hakika hautapoteza kamwe au utatupa
NAKUPENDA MPENZI Lovelovie toto la kisukuma
Ndiyo, nipo mujini hapahapa.Upo wapi mdogo wangu?kama dar kesho upo free?
Ndiyo Cuzoo wetu mwambaKwaiyo mm ndo muonyesha mfano et


Limeisha hiliNashawajua nyinyi tupien na nyinyi zenu mkuwa mmeweka maemoj uson kama maninja wa kijapanes
Huyo ni mpareManeno ya mkosaji....... ntakutumia picha ya shemeji Ako kusudi uzimie kabisa LOL![]()



Ndiyo, nipo mujini hapahapa.
Taja kiwanja mimi nitatokea.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Ng'ombe unao?
Bila ng'ombe 40+ kwa huyo malaika hutoboi. Maneno matamu tu hayatakusaidia sana sana wanaukoo tutaishia kukutoa mkuku tu na usharobaro wako![]()







Mdomo komaMm ni mtoto wa kiume afu nina akili timamu pia mm nikijana wanguvu afu siogopagi k2 chochote awe mwanaume au mwanamke hayo mm hayanihusu humu JF nimeingia kwaajili ya kubadilishana mawazo na kupiga storya hizo fikra zingine achaneni nazo tupige soga tu maisha yaendelee

Tumeshaamka na tayari tunatesekaAmkeni mkateseke
Sijahesabiwa… sioni dalili 😂🤸🏻♀️🤸🏻♀️Good morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!
Nimemuelek3za karani wako Antonnia afike kwenye kaya yako leo mapema nadhani yuko njiani vuta subira leo taarifa zako zitachukuliwa chiefGood morning kwa wanaselfika wote! Saint Anne Lovelovie Mjep Lizzy Depal Lenie Shimba ya Buyenze Ntiluseswa Wigelekelo raraa reree sophy27 National Anthem Post M-alone Mshana Jr Carrasco putin cocastic mawardat Surbi ! MPAKA SASA JUMAMOSI BADO SIJAHESABIWA NA DALILI HAZIONESHI KAMA NTAHESABIWA VP WENZANGU MMESHAHESABIWA!