Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,488
- 203,176
ππππππ emu lala kabla hujamlaza na yeye kwa mawazoAsbh akiamka atakutana na invoice yake
ππππππ emu lala kabla hujamlaza na yeye kwa mawazoAsbh akiamka atakutana na invoice yake
ππππππππUnga robo
Mayai 4
Mafuta robo
Vannila kijiko 1 cha chakula
Sukari robo
Blueband robo
Hiliki ya unga kijiko 1
Saint Anne kwa makaa.View attachment 2330707View attachment 2330708
Nimekupikia kitu cha tambi mayai sema bahati mbaya niliunguza sasa nataka nikupikie huo mkate sema sina mkaa na kuni nifanyeje?Ukimaliza mapishi selfika mkuu!!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππ emu lala kabla hujamlaza na yeye kwa mawazo
Unaongea na mie au wapishi π€π€π€???Nimekupikia kitu cha tambi mayai sema bahati mbaya niliunguza sasa nataka nikupikie huo mkate sema sina mkaa na kuni nifanyeje?
Oven sijui,Unapikaje sasa kwa mtu asiye na mkaa au kuni!

Naongea na wewe leo najifunza kupika ili tukianza maisha yetu tusiajiri housegirl kabisa! Nataka niwe nakupikia chai, cha mchana na cha usiku! πβ€οΈππ€Unaongea na mie au wapishi π€π€π€???
Uwiii nimetamaniUnga robo
Mayai 4
Mafuta robo
Vannila kijiko 1 cha chakula
Sukari robo
Blueband robo
Hiliki ya unga kijiko 1
Saint Anne kwa makaa.View attachment 2330707View attachment 2330708



Unipikie mie vipi tena wee poker usinleteee matatizo mieeeeπππππΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπ€π€!!! Nakupa shos angu cocastic πNaongea na wewe leo najifunza kupika ili tukianza maisha yetu tusiajiri housegirl kabisa! Nataka niwe nakupikia chai, cha mchana na cha usiku! πβ€οΈππ€
Atakuwa PepChelshit wanajidai wako bize ati
Kuna mdogo wake mtu anajikuta yupo bize na kilimo cha mbogamboga
WamekuwahiUwiii nimetamani
Yangu nimeamka asubuhi nikakuta sahani tupu
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


Junia kapita nayo ama?? Hahaha ... wangekuachia kidogo mpishiUwiii nimetamani
Yangu nimeamka asubuhi nikakuta sahani tupu
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mwanafunzi huyo naogopa kesi!Unipikie mie vipi tena wee poker usinleteee matatizo mieeeeπππππΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπ€π€!!! Nakupa shos angu cocastic π
Weeee hapo wewe ndio utakua mwanafunzi weeeehhh shos kwa mizagamuo hatareeeee !! Lazima Uombe poo ni yuko vizure balaaaMwanafunzi huyo naogopa kesi!
Itakuwa kazuiwaHahahaaa... shauri yenu sis mkilogwa ndio akili itawakaa sawa!
Pole sana sis tatizo nini!!!??
Umetumia dawa??
Afu sikuhizi umekua mgumu sana wa kuselfika sis akeee!!
Hahahaaa.... msiwafanyie Hivooo jammaniii!! Sasa picha mtu unafaudu nini jamani!! ππ!!Itakuwa kazuiwa
Watu wana gubu
Wanadhani tunafaudu
Kumbe wala
Maelezo ya niniUnavyonipenda sasa
Umefuraaaaaahi
Mwalimu yayangaπ€π€ In nshomiles voice π€£π€£π€£!;Mwache asome kwanza! Hitaji langu kwa sasa ni wewe mwalimu Antonnia uje unifundishe biology ya mwanamke! β€οΈππ€π