Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,144
So sad wallah 😂😂😂Nilikuwa nawaza hapa leo mtasingizia nn. Hatimaye mmepata cha kusingizia
So sad wallah 😂😂😂Nilikuwa nawaza hapa leo mtasingizia nn. Hatimaye mmepata cha kusingizia
Sure. Ulijua nn? Maana toka mwanzo ulikua na wasiwasi kichiziKadi lekundu lileeee
Koulbaly dah 😂😂😂
Tumefungwa tumevurugwa
Ila we Umevurugwa sana 😂😂
Ule wasi wasi nilikuwa nao tokea mwanzo, nilijua tu leo hatupepei Carlos Tevez
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Cunajua sina babamba nyingi in cocastic voice ntakupenda na kukujali kibosibosi kama Mjep ntakulinda na wabaya wetu akina Surbi ntakuombea dua usiwe na hasira za Lovelovie ila uwe na subra na upole wa Shimba ya Buyenze. Ntakupeleka kuinjoy Zanzibar kwa akina Lizzy huko ntakununulia misosi ya maana kama ya Saint Anne, wanga wakiona wivu ntaongea na Mshana Jr atupe kinga. Ntawaita wapambe wangu akina Carrasco putin waje wakupe maneno ya kheri na faraja. Ntalilinda penzi letu kama urafiki wa Depal na Lenie. Ntalike kila kitu kwenye maisha yako kama mkwepu jr na myoyambendi . With regards madam teacher Antonnia i love you kwa sana!
Tuchel ana mawazo… 😂😂Sure. Ulijua nn? Maana toka mwanzo ulikua na wasiwasi kichizi








Katakonda sana safari hii babekiTuchel ana mawazo…![]()
Yan tokea mechi imeanza ule mzuka sikuwa nao.. na nikihisigi tu wasi wasi basi hicho kitu hakita work out
Hublot️
We loose![]()








Acha kelele we LivakukuChelshit wanajidai wako bize ati
Kuna mdogo wake mtu anajikuta yupo bize na kilimo cha mbogamboga
AkiyananiAcha kelele we Livakuku








Acha mdomo 😂😂😂😂Katakonda sana safari hii babeki![]()
AkiyananiAcha mdomo![]()
Tusimulie
Chukulieni kuwa Leo ilikuwa siku mbaya kazini. Uzuri ligi ni marathon naamini mna nafasi ya kufanya marekebisho badoTuchel ana mawazo… 😂😂
Yan tokea mechi imeanza ule mzuka sikuwa nao.. na nikihisigi tu wasi wasi basi hicho kitu hakita work out
Hublot ⚽️
We loose 😭
Ww dawa yako iko jikoni. Kesho tuna jambo letu na nyieChelshit wanajidai wako bize ati
Kuna mdogo wake mtu anajikuta yupo bize na kilimo cha mbogamboga
KanajishauaWw dawa yako iko jikoni. Kesho tuna jambo letu na nyie
Mtu kapigwa na mpira ikulu 😂😂Tusimulie
HatutesekiAkiyanani
Watu wanajidai wapo bizi na sensa
Ngoja niwatafute wale Chelshittttt
Na ninavyojua kuangua kicheko..kabla ya yote ni kicheko kwanza
🤣🤣🤣Leeds oyeeeee 😂🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Jirani acha unaa 😂😂
Barikiwa sana kwa kuwabless na ma airtime mr vocha!!✌️✌️!!