Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,159
Sensa day nisipochoka na kuhesabiwa, nitajaribu piaWe acha tu
Uatamu fulani hivi![]()
Sensa day nisipochoka na kuhesabiwa, nitajaribu piaWe acha tu
Uatamu fulani hivi![]()
Ndio zuri 🤪😘
Sasa dk 58 zote umeshindwa kulala? Una stress nn 😂😂😂Nipo kwa bed tangia saa 3 kasoro
Sikuhizi nimekua mvivu na TV
😂😂😂 nina shida na 1M ndio inaniwazisha hapaSasa dk 58 zote umeshindwa kulala? Una stress nn 😂😂😂
Mimi ndio nazima vitu hapa nilale, tusio na stress hatumalizi nusu saa
Kwanini haukuwaza mchana? Watu wa bush na Mm hizo mmeanza lini?😂😂😂 nina shida na 1M ndio inaniwazisha hapa
Kumbeee,, Ahsante dearIli yasiharibike mama. Haswa hali ikiwa ya joto ....
Haya Nipo sis njoo unibless usiku Wangu uwe mzuri sis!😘sa hv
![]()
Sawa banaSensa day nisipochoka na kuhesabiwa, nitajaribu pia

Hilo jambo limetokea jioni hii.Kwanini haukuwaza mchana? Watu wa bush na Mm hizo mmeanza lini?
Unapikaje sasa kwa mtu asiye na mkaa au kuni!Unga robo
Mayai 4
Mafuta robo
Vannila kijiko 1 cha chakula
Sukari robo
Blueband robo
Hiliki ya unga kijiko 1
Saint Anne kwa makaa.View attachment 2330707View attachment 2330708
Usiwaze sis tubless ivoivoo!! ✌️SawA ccy ntakutumia sema hizi siku mbili tatu sijapiga picha kabisa ntakuangalizia hata za nyuma
Ukimaliza mapishi selfika mkuu!!Unapikaje sasa kwa mtu asiye na mkaa au kuni!
Kwa kweli.. usisahau kumpigia kijanaHilo jambo limetokea jioni hii.
Em nilale, kesho nikiamka nitakua nimepata akili mpya
Wabush nao tumejanjaruka, hela tunazijua acha mazarauKwanini haukuwaza mchana? Watu wa bush na Mm hizo mmeanza lini?
Bush hela nyingi hazihitajiki,, kwanza unazitumia wapi?Wabush nao tumejanjaruka, hela tunazijua acha mazarau
Asbh akiamka atakutana na invoice yakeKwa kweli.. usisahau kumpigia kijana
Kununulia mashambaBush hela nyingi hazihitajiki,, kwanza unazitumia wapi?