Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wazee wa kurudi kinyumenyume akina Fortnox
Hawa jamaaAisee🤣😂🤣😂
Ni buree
 

Attachments

  • Screenshot_20220815-172223_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20220815-172223_WhatsAppBusiness.jpg
    44.1 KB · Views: 4
Nimejaribu kupika tambi mayai leo ila tambi upande mmoja hazijaiva na upande mwingine zimeungua 😞 mwenye kujua kupika tambi nzuri naombeni muongozo!View attachment 2330638
Unatakiwa uchemshe kwa maji mengi kisha uzichuje zikishalainika.

Kutupia chumvi wakati wa kuchemsha na kuzimwagia maji baridi wakati wa kuzichuja inasaidia zisishikamane.
 
Back
Top Bottom