Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni matumizi mabaya ya nguvu zako kungoja Nyumbu watufunge
Nakaa hapa
Nawangoja

Kesho mapema sana naset reminder
Wanatufungia wapi sasa hawa jamaa
 

Attachments

  • Screenshot_20220815-172223_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20220815-172223_WhatsAppBusiness.jpg
    44.1 KB · Views: 3
Cunajua sina babamba nyingi in cocastic voice ntakupenda na kukujali kibosibosi kama Mjep ntakulinda na wabaya wetu akina Surbi ntakuombea dua usiwe na hasira za Lovelovie ila uwe na subra na upole wa Shimba ya Buyenze. Ntakupeleka kuinjoy Zanzibar kwa akina Lizzy huko ntakununulia misosi ya maana kama ya Saint Anne, wanga wakiona wivu ntaongea na Mshana Jr atupe kinga. Ntawaita wapambe wangu akina Carrasco putin waje wakupe maneno ya kheri na faraja. Ntalilinda penzi letu kama urafiki wa Depal na Lenie. Ntalike kila kitu kwenye maisha yako kama mkwepu jr na myoyambendi . With regards madam teacher Antonnia i love you kwa sana!
hatareeeeh.
 
Depal

Poleeeeeeeh hasira za kubagizwa 3G usilete kwa Sisi.
Cheltako hamna mwendo, na badooooo mtapigwa sanaaaa.
 
Back
Top Bottom