Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliwahi sema huku mashabiki wa chelsea wataishi kama mashetani! Hziyech22
20220820_005529.jpg
 
Najua unajua ila unataka kunitoa kwenye reli kwanini umsonye Antonnia kipenzi changu tulizo la moyo wangu!
Matatizo hayaa mkuu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
Vijana siwaweziiii mie🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️!!
 
Matatizo hayaa mkuu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
Vijana siwaweziiii mie🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️!!
Cunajua sina babamba nyingi in cocastic voice ntakupenda na kukujali kibosibosi kama Mjep ntakulinda na wabaya wetu akina Surbi ntakuombea dua usiwe na hasira za Lovelovie ila uwe na subra na upole wa Shimba ya Buyenze. Ntakupeleka kuinjoy Zanzibar kwa akina Lizzy huko ntakununulia misosi ya maana kama ya Saint Anne, wanga wakiona wivu ntaongea na Mshana Jr atupe kinga. Ntawaita wapambe wangu akina Carrasco putin waje wakupe maneno ya kheri na faraja. Ntalilinda penzi letu kama urafiki wa Depal na Lenie. Ntalike kila kitu kwenye maisha yako kama mkwepu jr na myoyambendi . With regards madam teacher Antonnia i love you kwa sana!
 
Kadi lekundu lileeee

Koulbaly dah 😂😂😂

Tumefungwa tumevurugwa

Ila we Umevurugwa sana 😂😂

Ule wasi wasi nilikuwa nao tokea mwanzo, nilijua tu leo hatupepei Carlos Tevez
 
Back
Top Bottom