Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,469
Salama Mjukuu, ndiyo kunisusa gani Mjukuu.Babuuuu
Uhali gani
Fanya uje Kijijini walau kutusalimia, Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana
Salama Mjukuu, ndiyo kunisusa gani Mjukuu.Babuuuu
Uhali gani
Simu imenizingua washapita nayoo dadeki!!
Nitafutie uzi wa kuhamia mdogo wangu naona selfika wajumbe wako kimya hata selfie zimepunguaAcha mambo yakooo wewe wa selfikaaa weka vitu weka vituuu
Bado hatujaokota hela.😂😂Bagamoyo? Au bado hamjaokota hela 😂😂😂
Simu imestack washapita nayoo dadeki kama nawaona wenye speed zao walivonipaniaaa😄😄
Ni ile ya mwanzo umeikosa pia??Simu imenizingua washapita nayoo dadeki!!
Nasubiria nyingine sikati tamaa leoo
😂😂😂😂 kuanzia lini mkaanza kwenda around?Bado hatujaokota hela.😂😂
Leo tupo tu around kupunguza stress za week
Simu inanilostishaaa leo ni leoooNi ile ya mwanzo umeikosa pia??
Kaa hapa usibanduke leo ni bandika bandua
Babu nakumiss sana jamanSalama Mjukuu, ndiyo kunisusa gani Mjukuu.
Fanya uje Kijijini walau kutusalimia, Mimi na Bibi yako tumekukumbuka sana
Si kuanzia leo😆😂😂😂😂 kuanzia lini mkaanza kwenda around?
Fanya mambo nikuwekee mzigo kwa voda yakoSimu imenizingua washapita nayoo dadeki!!
Nasubiria nyingine sikati tamaa leoo

Achangamke chapFanya mambo nikuwekee mzigo kwa voda yako![]()
🤣🤣Mimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tena😂🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna dada nilikuwa nakaa naye ibadani,yaani akicheka na mimi nacheka Kwa sababu ya kicheko chake.
Nikicheka namchekesha Tena,akicheka watu wote wanaanza kucheka kwa vicheko vyetu😂😂😂😂
Sisi tunasinga mbele na vicheko kama injili.
Yaani huko Whatsapp nikikutana naye nivicheko Kwa kwenda mbele kama mambumbumbu hivi .
Na vile kujibana siwezi yaani unakuta nimeachama hadi mwisho🤣🤣🤣🤣
Achangamke chap
Mwenye 14 nakusalimiaa Shikamoo!!! Unaupiga mwingi sio kitoto 😎