Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20220815_115631.jpg
 
Nothing serious my dear, was just chit chat kama jukwaa linavyosema.
Insecurity ndio inasumbua watu
Insecurity ndio inferiority complex eeh? Janga kubwa sana ilo kwa watanzania 😂

nakumbuka hako ka ugonjwa kalinitesaga week karibia nzima,, tokea hapo nikajiapiza sirudiii kumkasirikia mtu, maana ukimnunia mtu wallah balaa unalipata wewe mnunaji 😂😂😂

Yule dada yeye ndio alinikosea
Ila akaomba samahani
Me nikajitia kuvimba
Na yeye akanigwaya .. ni salamu tu ya morning

Sasa nikaanza kujishtukia bila sababu 🤣🤣

Weee me nimejifunza sana kuyatizama mambo na kuyaacha kama siyaoni
 
Insecurity ndio inferiority complex eeh? Janga kubwa sana ilo kwa watanzania 😂

nakumbuka hako ka ugonjwa kalinitesaga week karibia nzima,, tokea hapo nikajiapiza sirudiii kumkasirikia mtu, maana ukimnunia mtu wallah balaa unalipata wewe mnunaji 😂😂😂

Yule dada yeye ndio alinikosea
Ila akaomba samahani
Me nikajitia kuvimba
Na yeye akanigwaya .. ni salamu tu ya morning

Sasa nikaanza kujishtukia bila sababu 🤣🤣

Weee me nimejifunza sana kuyatizama mambo na kuyaacha kama siyaoni
Yees darling ndio hiyo hiyo.
Inatesa mnoo usipokua makini kila kitu utahisi ni personal attack.

Pole didi ake but good thing umejifunza somo hapo na haitatokea tena.

Humu hua tunachat vitu vingi sanaaa na 75% hua ni jokes sababu ya mazoea yetu.

Hapa ni +ve vibes only
 
Inasemekana majobless ndio uwa wanashinda hapa,, itakuwa wamepata kazi ya sensa ndio wako bize

Mtu kama Lenie ni boss sana, akiwa busy sishangai..

Sisi pia wengine na kina Wigelekelo ni mabosssssss huku kwa muhindi, kuna nyakati tunakuwa bize balaaa

Afu kuna wale wa matipo Id,, waaambieni waashe zote
Li zuri

Nimekumiss kinyama

Upo poa Bi mdash wangu
 
Back
Top Bottom